Kumekuwepo na malalamiko ya akina mama siku hizi kwa waume wao kuwa na mahusiano na ma house girl wao. Je tatizo ni wao kutotimiza wajibu wao au ni tamaa tu za wanaume nipeni jibu
sidhani kama ni tamaa za wanaume ni kama ugonjwa wa akili, kwasababu kutembea na house girl ni zaidi ya tamaa, hebu fikiria hata kama una tamaa kuna wanawake wangapi nje ya nyumbani kwako? Hii haina tofauti na kutembea na bint yako alafu iitwe tamaa????????????
NA wake zetu nao
wanachangia,kila siku mke anakuambia amechoka,hana hamu,kwa nini
housegirl asipewe promotion?
Sidhani kama ni tamaa za wanaume ni kama ugonjwa wa akili, kwasababu kutembea na house girl ni zaidi ya tamaa, hebu fikiria hata kama una tamaa kuna wanawake wangapi nje ya nyumbani kwako? Hii haina tofauti na kutembea na bint yako alafu iitwe tamaa????????????
Salute Mkuu. Wanadai eti ni kwa sababu housegirls wanaachiwa majukumu mengi ya nyumbani. Sie kwetu tulizaliwa mabint watatu, tangu tumekuwa na uwezo wa kufanya kazi mama yetu alikuwa anatuelekeza tu nini cha kufanya nasi tunatimiza yoote. Kuaznia kupika, hadi kufua kwa kupeanan zamu tu? Je, nasi tungepaswa kufanyiwa kama mnavyowafanyia housegirls kwa sababu tu tunafanya majukum yoote ya nyumbani?
Kumekuwepo na malalamiko ya akina mama siku hizi kwa waume wao kuwa na mahusiano na ma house girl wao. Je tatizo ni wao kutotimiza wajibu wao au ni tamaa tu za wanaume nipeni jibu
kwa hiyo wanayo fanya haya mambo wakapimwe akili
Salute Mkuu. Wanadai eti ni kwa sababu housegirls wanaachiwa majukumu mengi ya nyumbani. Sie kwetu tulizaliwa mabint watatu, tangu tumekuwa na uwezo wa kufanya kazi mama yetu alikuwa anatuelekeza tu nini cha kufanya nasi tunatimiza yoote. Kuaznia kupika, hadi kufua kwa kupeanan zamu tu? Je, nasi tungepaswa kufanyiwa kama mnavyowafanyia housegirls kwa sababu tu tunafanya majukum yoote ya nyumbani?
Kwa hiyo mchezo wa 6X6 ni reward kwa kazi mama anazo zifanya mchana, sio?House girl anapo chukua jukumu la mama mwenye nyumba basi baba ana haki ya kuomba hata mchezo wa 6x6
Kwa hiyo mchezo wa 6X6 ni reward kwa kazi mama anazo zifanya mchana, sio?
anae fanya kazi, mwisho wa siku unampa mshahara wake kwa game ya 6X6?