Walikuwa marafiki sana,jamaa akamtambulisha rafiki yake kwa mpenzi wake wa kike kuwa huyu ndo shem wako,jamaa akaja kuhamishwa kikazi na mwanamke kamuacha palepale na mwasiliano akakata,mshikaji akatia miguu kwa shemeji yake shemji kakubali,penzi likanoga sana mpaka wakazaa mtoto,baada ya miaka 6 jamaa karudi anataka tena penzi akatolewa nje,mshikaji wake hakumwambia kuwa yeye ndio anakula goma ila jamaa kapata tetesi kuwa mshikaji wake ndio anakula goma,jamaa kakasirika kinoma hataki tena kuongea na mshikaji wake,wadau hapo kuna kosa au mwenye makosa nani na je mshkaji aachie ngazi kama kosa ni la kwake kwa kutembea na aliyekuwa shemeji yake?
hapo kwenye rangi,hujakosea????sio miezi????maana miaka sita bila mawasiliano as mchumba,daaaaaa,halafu pia hakuna mawasiliano,,,,mmmh