peter tumaini
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 573
- 94
Salaams Wanabodi,
Naamini watu wengi waliona Mazishi ya Kanumba kwa kushuhudia umati mkubwa wa watu ulioambatana na vurugu na hatimaye zoezi la wananchi kuaga mpendwa wao kukwama.Huku likiwa chini ya serikali na wanasiasa pamoja na kamati husika.Wengi wetu hatukupendezwa na kilichotokea.
Kwa mtu maarufu kama Kanumba shughuli hii ilitakiwa ifanyike pale DIAMOND JUBILEE na liwe zoezi la siku 2 na pia kungewekwa kiingilio cha kumuaga Lets say Tsh.3,000/ hizi pesa zingetumika kuanzisha Foundation yake ambayo ingetumika kukuza vipaji vya wasanii wachanga na hii ingekuwa kumbukumbu yake kwetu siku zote.
Hatungependa fujo kama hiyo kutokea na kusababisha vifo vya takribani Watz 6 hakuna tulichomuenzi zaidi ya kuongeza majonzi.
MY TAKE.Serikali badilikeni pamoja na wanasiasa kama hamuwezi waachieni watz wengine wafanye kuliko kutafuta cheap popularity kwenye misiba ya watu maarufu.
Nawasilisha.
Naamini watu wengi waliona Mazishi ya Kanumba kwa kushuhudia umati mkubwa wa watu ulioambatana na vurugu na hatimaye zoezi la wananchi kuaga mpendwa wao kukwama.Huku likiwa chini ya serikali na wanasiasa pamoja na kamati husika.Wengi wetu hatukupendezwa na kilichotokea.
Kwa mtu maarufu kama Kanumba shughuli hii ilitakiwa ifanyike pale DIAMOND JUBILEE na liwe zoezi la siku 2 na pia kungewekwa kiingilio cha kumuaga Lets say Tsh.3,000/ hizi pesa zingetumika kuanzisha Foundation yake ambayo ingetumika kukuza vipaji vya wasanii wachanga na hii ingekuwa kumbukumbu yake kwetu siku zote.
Hatungependa fujo kama hiyo kutokea na kusababisha vifo vya takribani Watz 6 hakuna tulichomuenzi zaidi ya kuongeza majonzi.
MY TAKE.Serikali badilikeni pamoja na wanasiasa kama hamuwezi waachieni watz wengine wafanye kuliko kutafuta cheap popularity kwenye misiba ya watu maarufu.
Nawasilisha.