Hivi serikali yetu sikivu inataka sisi wananhi tufanye ili kujilinda kutekwa iwe na Polisi wa ukweli au waungo? tukitaka kushikwa na Polisi tugome au tu resist arrest? au tupigane maana imekuwa taabu kidogo kutofautisha Polisi anaye ku-arrest kwa jambo la kweli au ndio hivyo kwa jambo lisilo rasmi