Hiki choo siyo made in China?
Anagalia zile picha alizopigwa ghafla bila kujiandaa.Shida ni kwamba picha ilivyotoka na yeye mwenyewe ukikutana nae kwa mtaa hatishi hivyo.....nilivyomuona kwa picha moyo ulinienda mbio kweli lkn kukutana nae kitaa sikuamini kama ni yeye kweli....au ndio mchina ameanza ku-expire?
Hilo la kulia lazima litakuwa linam-National Milling Company mwenzie ndio maana Wema hakai na madume.
Hiyo ya Shilole umei-adobe css , hana li-jitako hilo loote....!!!
wivu tu.wezi watupu hawa!!
Ati nini? Haha haaa....Hiki choo siyo made in China?
kwa hiyo uchebe akapimwe sioukikaaa nae miaka mitano kwa uvumilivu wote, kapime hosipitali utakutwa na magonjwa yote,kisukari, vidonda vya tumbo,pressure mpaka nakadhalika itakuwepo
mbona una jazba sana mkuu ulishaibiwa nini?
Sema sijaona mvuto wke zaidi ya minyamamasihara hayo mkuu
kibongobongo Mcheki Sanchi, hutajutaSema sijaona mvuto wke zaidi ya minyama
Hana curves
Ova
Cc uchebeMabinti kama hawa kuwa nao ni kujitafutia kifo cha mapema! Maana huyu lazima kwa uchache anatembea na mapedejee 20!