WANAWAKE WAMECOMMENT NEGAVITECE KWENYE HII THREAD, ni wivu au??
Ha ha ha haMabinti kama hawa kuwa nao ni kujitafutia kifo cha mapema! Maana huyu lazima kwa uchache anatembea na mapedejee 20!
Hata mie nakuunga mkono hiyo choo ya marumaru ni medini China,hakiki kinapendeza tatizo ni kwalite muda si mrefu kitaanza kulegea kama mlenda na mwishowe kumong'onyoka kwa kifupi hicho choo kimewekwa marumaru lakini ndani ni pumbaHiki choo siyo made in China?
wezi watupu hawa!!
Mabinti kama hawa kuwa nao ni kujitafutia kifo cha mapema! Maana huyu lazima kwa uchache anatembea na mapedejee 20!
Hiki chuma kweli kina mwanaume mmoja? Nina mashaka SANA. Halafu si mchina huyu. Ni creation tu