Ndugu zangu, hivi majuzi niliona tangazo la airtel kuwa ukinunua moderm ya airtel kwa shs elfu 30,000 utapata internet bure kwa miezi 6. Baada ya kuona hivyo nilienda kwenye duka lao na kukuta vipeperushi kibao vikiwa na ujumbe kama huyo yaani internet bure kwa miezi 6. Nikanunua. Baada ya kujaribu ikawa haifanyi kazi, kuulizia customer care wakaniambia ni lazima ni recharge eti kwamba offer hiyo ni ya siku moja kwa mwezi na hivyo ni siku 6 ndani ya miezi 6. tena baada ya kutumia kiasi fulani kwa mwezi.
Offer iliyotangazwa ni uongo. Hivyo nakusudia kuwapeleka mahakamani wanipe internet kwa miezi sita kama walivyoandika kwenye mstangazo mimi na wateja wengine wooote walionuna moderm hizo. Vielelezo nilivyonavyo ni tangazo la gazeti, kipeperushi na risiti ya kununulia modem
Naomba nieleweshwe namna ya kuframe madai na sheria ninazoweza kutumia. Pia kama kuna mwanasheria ambaye yuko tayari kuendesha case hii tafadhali ani pm. Nitalipa gharama za case husika. Asanteni.
Offer iliyotangazwa ni uongo. Hivyo nakusudia kuwapeleka mahakamani wanipe internet kwa miezi sita kama walivyoandika kwenye mstangazo mimi na wateja wengine wooote walionuna moderm hizo. Vielelezo nilivyonavyo ni tangazo la gazeti, kipeperushi na risiti ya kununulia modem
Naomba nieleweshwe namna ya kuframe madai na sheria ninazoweza kutumia. Pia kama kuna mwanasheria ambaye yuko tayari kuendesha case hii tafadhali ani pm. Nitalipa gharama za case husika. Asanteni.