Kusua sua ujenzi uwanja wa ndege Mwanza ni vita ya Utalii, Siasa na Ubaguzi?

Population severe in Poverty naona kanda ya ziwa ni balaa tupu...

Mwanza ndio anawakimbiza kwa mbali wenzake wa kanda ya ziwa akiwa na 32.8%, wakati Kagera na Tabora wanachezea 41% mwingine 48%... Ukija kwenye HDI nako ndio wa mwisho... Yaani Mara, Mwanza, Shinyanga, Tabora na Kagera hii mikoa ina laana ndio maana kila aina ya uchafu, uuaji wa albino, unyanyasaji wa kijinsia na ukatili uliokosa utu hutokea huko
Chuki na ubinafsi vitawaua Awamu hii na ndio kwanza imeanza. Maana mmeanza kupanguliwa sehemu nyeti sasa mnatapatapa kuuza maparachichi nyamafu nyinyi.
 
Wale wa Msoga walikaa Ikulu miaka 10 ila Mbunge wao Mtoto wa aliyekuwa Mfalme kwenye kampeni kamwomba maji huyo wa kwenu... Ukikatiza huko Msoga unaweza toa machozi kwa jinsi walivyo kwenye rindi la umaskini... Alafu muende na Masasi kwa Lodilofa teh teh teh teh Urais nini bana...
Nywanoko
 
Chuki na ubinafsi vitawaua Awamu hii na ndio kwanza imeanza. Maana mmeanza kupanguliwa sehemu nyeti sasa mnatapatapa kuuza maparachichi nyamafu nyinyi.
Mkuu hiyo report sio mimi wala Mkaskazini aliyeifanyia research... Acha kujenga chuki teh teh
 
Mkuu hiyo report sio mimi wala Mkaskazini aliyeifanyia research... Acha kujenga chuki teh teh
Sasa mkuu kwa haya maisha ya watanzania wanayoishi unaona yapo so advanced? kwa maoni yako kilimanjaro na arusha wanamaisha bora sana kuliko seheme zingine? Anyways, nimeisoma report na hata uki google unaipata, overall kama nchi tupo chini sana duniani na report inachosema mikoa ya dar, tanga, ruvuma, arusha na kilimanjaro imeonyesha "improvement" kama unajua kingereza i guess utaelewa.
 
Usiwe proud sana, ubinafsi ni nyie washamba wa Mwanza eti Mji Tajiri lipeni kodi wezi nyie. Sehemu Tajiri iliojaa na watu maskini kifedha na kiakili.

Report ya Human development ya Tanzania nzima nime attach hapo chini kama hauna bundle sema nikurushie buku kumi na tano uweke maskini wewe.

Ninajua wewe ni mvivu wa kusoma maana ndo jadi ya KiMwanza anza kusoma ukurasa wa 87 kwenye pdf niliyoattach, Ripoti inaonyesha Arusha imeizidi kila kitu Mwanza isipokuwa GDP( Total regional output) na GDP per capita Arusha iko juu ya Mwanza(Output per person).

Arusha ina population chini ya 1.5m huku Mwanza ikiwa na zaidi ya 3m ndo maana regional output ya huko kijijini kwenu inachangiwa na wingi wa watu.
Una hasira kweli, haya per capita mnaongoza hapo vipi? so unafikili mkiongoza per capita ndio kutakuwa na balanced diet, where did the report position Tanzania in a global context? Hizi tafiti mara nyingi matokeo ya sampling, kwa kiasi kikubwa HDI kwa nchi za ulimwengu wa tatu kuna ugumu wa kupata data na mara nyingi social and economic indicators zinazotumika ku gauge they r very much unreliable. kwa kukushauri tu acha jazba, arusha ipo nyuma sana kwenye GDP na kama umesoma uchumi sehemu au nchi inayokuza GDP kwa kasi basi effect yake kwenye per capita in future ni kubwa, ndio maana Mwanza ni mji unaokuwa kwa kasi Tanzania ukitoa dar es salaam. mzunguko wa fedha na uwekezaji ni mkubwa zaidi. Effect yake kwenye per capita itakuwa kubwa sana in near future, arusha inakimbiwa na haivutii watu kukaa, na uwekezaji si mkubwa zaidi ya utalii.
 
Sasa mkuu kwa haya maisha ya watanzania wanayoishi unaona yapo so advanced? kwa maoni yako kilimanjaro na arusha wanamaisha bora sana kuliko seheme zingine? Anyways, nimeisoma report na hata uki google unaipata, overall kama nchi tupo chini sana duniani na report inachosema mikoa ya dar, tanga, ruvuma, arusha na kilimanjaro imeonyesha "improvement" kama unajua kingereza i guess utaelewa.
Usiumie sana, kusanyeni kwanza kodi ndio mjengewe uwanja... Vibilion 62 kwa miezi sita ni pesa mbuzi sana kwa Arusha...
 
Una hasira kweli, haya per capita mnaongoza hapo vipi? so unafikili mkiongoza per capita ndio kutakuwa na balanced diet, where did the report position Tanzania in a global context? Hizi tafiti mara nyingi matokeo ya sampling, kwa kiasi kikubwa HDI kwa nchi za ulimwengu wa tatu kuna ugumu wa kupata data na mara nyingi social and economic indicators zinazotumika ku gauge they r very much unreliable. kwa kukushauri tu acha jazba, arusha ipo nyuma sana kwenye GDP na kama umesoma uchumi sehemu au nchi inayokuza GDP kwa kasi basi effect yake kwenye per capita in future ni kubwa, ndio maana Mwanza ni mji unaokuwa kwa kasi Tanzania ukitoa dar es salaam. mzunguko wa fedha na uwekezaji ni mkubwa zaidi. Effect yake kwenye per capita itakuwa kubwa sana in near future, arusha inakimbiwa na haivutii watu kukaa, na uwekezaji si mkubwa zaidi ya utalii.
Acha bange kijana... Mwanza kuna uwekezaji upi labda?? teh teh teh teh unachekesha kweli...

Hivi kungekuwa na uwekezaji wa maana huko zaidi ya samaki ndio mngejengewa hako kakiwanja?? Mngenyimwa meli miaka yote hiyo?? Hata barabara ya rami yenyewe mmeipata majuzi tu... Endeleeni kula mapanki huko..
 
Wivu ni hatari sana kwa maendeleo ya nchi. Huyu jamaa anayeleta mada anaongea bila evidence.

Arusha hadi serengeti ni km 235 wakati Mwanza hadi Serengeti ni km 328 kuna tofauti ya zaidi ya km 90.

Pili wageni hawawezi kuja kutembea kwa watu washamba hata siku moja. Watu wa Mwanza ni washamba kinoma.

Tatu Naona kwenye post unasema Mwanza inachangia pato la taifa kuliko Arusha hapo pia umekosea, Mwanza inachangia uzalishaji wa kitaifa yani GDP ( Total output in a country) ya trilioni 4.6 huku Arusha ikiwa na tillioni 2.6.

Turudi kwenye pato la taifa yani (tax collections) ikitoka Daresalam inafuatiwa na Arusha inayokusanya $1Billion kwa mwaka wakati Mwanza ina kusanya $126Million.

Nne Arusha imekuwa ikihujumiwa na serikali lakini bado inazidi Mwanza kwa maendeleo ya watu yani (HDI- Human development index) amabayo ndo mji wa kwanza kwa maendeleo ya Raia nchini ikifuatiwa na Moshi alafu Daresalam.

Uwe unaleta mada na evidence usikurupuke kama unakimbizwa kutoka usingizini fala wewe.

Alafu watu wa mwanza acheni kukwepa kodi.

Uwanja wa ndege mlio nao unawatosha vizuri sana.

Mbegu iliyopandwa na watawala imechepua sasa nyie endeleeni kuikuza. Dunia inaelekea kuungana ...ila watz wanamawazo ya kugawanyika...haha.
 
Mbona kila mtu anahofu na kanda ya kaskazini? Kwenye siasa Kanda ya kaskazini? masuala ya kiuchumi Kanda ya kaskazini? Vyuoni na Makazini Kanda ya kaskazini? Hii hofu ya hii kanda inatokana na nini? Mi sikuwahi kusikia kanda ya kaskazini ikilaumu kanda zingine, shida ni nini?

Ritz we ni kiongozi mkubwa wakati mwingine jiulize sana statement unazoandika ama kusema ndio chanzo kikubwa cha watu kujenga chuki dhidi yako na familia yenu, ni ushauri tu hutaki unaacha.
Arrogance ya watu toka huko ni kero sana katika kila kona, hujuvunia kwa kisingizio cha kujua biashara na kumiliki pesa at the expense of others.Ni muda wa kujitafakari wamekosea wapi na wasipoliona hilo nalo ni Jipu la kutumbua.
 
Haya ndiyo matokeo ya mzee wa msoga kupalilia ukabila na udini hatimaye Watanzania wameanza kuvuna mazao yake kwa kasi
 
Haya ndiyo matokeo ya mzee wa msoga kupalilia ukabila na udini hatimaye Watanzania wameanza kuvuna mazao yake kwa kasi
Fuatilia utaona nani mwenye udini na ukabila..kaskazini wanapenda sana kubagua wenzao esp kwenye ajira na shughuli za maendeleo wakiwa na nafasi..imagine kipindi sumaye ni waziri mkuu aling'ang'ana international airport ijengwe arusha while kil inter airport ipo. Kanda ya ziwa yote na umuhimu wake na kanda ya nyanda za juu kusini hakuona umuhimu wake..matukio kama haya yanaleta chuki. Sasa wanapinga uwanja wa kimataifa usijengwe Mwanza kama sio chuki ni nini hizo? Kujiona wao wameendelea ..sasa mbona wanaikimbia moshi na arusha? Hamna pesa n hamna economic opportunities.
 
kaka umbali unapimwa kwa km au miles, sio muda wa kutembea.. tueleze tuelewe mwanza hadi serengeti ni km ngapi? na arusha hadi serengeti km ngapi? ili tujue kama ni sahihi mwanza ni karibu na serengeti than arusha

Mkuu,
Mimi nimezungumzia umbali wa kutoka Mwanza Airport Mpaka Mugumu na sio geti la kuingilia Serengeti mkuu. Nimesahau ku declare interest, mimi nimetokea mkoa wa MARA. Kwa hiyo huo umbali nilioandika nina hakika nao kwa kuwa huwa natumia usafiri wa barabara mara kwa mara.

Umuhimu wa kujenga uwanja wa kimataifa Mwanza upo wala sipingani nawe katika hilo...Ila sio kipaumbele cha Serikali kwa sasa.
 
kaka umbali unapimwa kwa km au miles, sio muda wa kutembea.. tueleze tuelewe mwanza hadi serengeti ni km ngapi? na arusha hadi serengeti km ngapi? ili tujue kama ni sahihi mwanza ni karibu na serengeti than arusha
Sababu ya kujenga uwanja wa kimataifa si Utalii tu plus tunaitaji kuongeza idadi ya watalii na entry points sio lazima iwe kaskazini pekee..vivutio vya utalii ni vingi huko kaskazini as well as kanda ya ziwa..lets not be selfish kwa nchi yetu wenyewe.
 
Sio Mwanza tu. Uwanja wa Songwe ni hivyo hivyo. Majengo ya abiria yapo ya muda tu. Hawataki kuweka taa sehemu kuruka na kutua ili kiwanja kitumike usiku.
Hata kukiwa na ukungu ambao ni kawaida maeneo ya Songwe ndege hulazimika kurudi Dar!
 
Fuatilia utaona nani mwenye udini na ukabila..kaskazini wanapenda sana kubagua wenzao esp kwenye ajira na shughuli za maendeleo wakiwa na nafasi..imagine kipindi sumaye ni waziri mkuu aling'ang'ana international airport ijengwe arusha while kil inter airport ipo. Kanda ya ziwa yote na umuhimu wake na kanda ya nyanda za juu kusini hakuona umuhimu wake..matukio kama haya yanaleta chuki. Sasa wanapinga uwanja wa kimataifa usijengwe Mwanza kama sio chuki ni nini hizo? Kujiona wao wameendelea ..sasa mbona wanaikimbia moshi na arusha? Hamna pesa n hamna economic opportunities.
Mkuu, mimi sioni tatizo wao kujipendelea ktk nafasi mbalimbali endapo vigezo wanavyo. Hebu chukua mfano huu hapa chini kisha ujibu swali langu:
zimetokea nafasi za kazi ya uhasibu, zimetangazwa na watu wakaomba makabila kwa makabila. Waombaji wote wakachujwa ila wakabaki waombaji wawili, mmoja ni kabila x na mwingine ni kabila y na wote wana vigezo sawa kwa sawa mfano wote ni degree holders na wote wana GPA 4.8 pia wamefananisha grade kwa kila somo. Lakini msimamizi mkuu na mwenye maamuzi ni mtu wa kabila x.

Swali:
unategemea msimamizi mkuu atamchukua mtu yupi kati ya hao wawili?

Sipendi ukabila ila najaribu kukupa mazingira yaliyokupa dhana ulonayo. Na kwa kuongezea tu ni kwamba hawa jamaa unaowalalamikia ktk hali halisi mi nawakubali kwa mentality yao ya kupambana na maisha na ktk suala zima la utafutaji kitu ambacho nadhani hata watanzania wengi wameanza kuiga mentality hiyo. Hapa sijagusa lile kabila la jirani na huko kwenu lenye sifa ya kujipa promo.
Hao ni maoni yangu tu, karibu.
 
Back
Top Bottom