Rabin
Senior Member
- Mar 21, 2009
- 181
- 39
Ndugu zangu naomba minieleweshe hasa matumizi ya neno hili kustaafu katika siasa zetu hizi za kimasikini, kwa nini kiongozi anaye ondoka madarakani kwa kashfa kabla ya kumaliza muda wake anatambuliwa kama mstaafu? hakuna neno lingine linalofaa kutokana na namna alivyoachia madaraka? wanaposema waziri mkuu mstaafu mh. EL siwaelewi, nisaidieni, kwani tunamuogopa nani?