galagaja mtoto
Member
- May 24, 2012
- 84
- 33
Wataalam wa lugha hasa wale wanaoketi mbele ya tbc juzi waliniumiza kichwa kwa kusema kuwa neno ''KUFUNDISHA'' lina maana kutoa elimu ya masuala yaufundi(mchundo) lakini yule anayesimama mbele ya darasa kwa shule ya msingi/sekondari inasemwa kuwa ''ANASOMESHA''. Sasa wadau wangu hebu niwekeni sawa je nikisema ''KUJIFUNZA'' hufanyika kwa wanachuo tu nitakosea? kwani ndo wanakopatikana wakufunzi.
''kama hujui kitu funga domo lako'' je hii nayo ni sahihi?
''kama hujui kitu funga domo lako'' je hii nayo ni sahihi?