ni nchi gani ambayo inatoa masterz nzuri na ada yake sio ndefu sn? niliapply vyuo vya UK ila ada inarange kwny 25M mpk 35M hivi ambapo kwa private wala ctaweza kujilipia, nishaurini nigoogle vyuo vya nchi gani gani, au nikipata link pia itakuwa vzr sn