kusoma masters nje

mzurisana

Senior Member
Jun 23, 2011
133
27
ni nchi gani ambayo inatoa masterz nzuri na ada yake sio ndefu sn? niliapply vyuo vya UK ila ada inarange kwny 25M mpk 35M hivi ambapo kwa private wala ctaweza kujilipia, nishaurini nigoogle vyuo vya nchi gani gani, au nikipata link pia itakuwa vzr sn
 
mdau nenda south africa,turkey ada ni bwerere...ila kama unataka usome na kujiingizia kipato nenda norway,,,hawana ada hata kwa international student...ilaunatakiwa pale ubalozini watakufanyia process ya kufungua account norway ambayo unatakiwa uweke not less than 20m kama utaratibu hawajabadili,,,,hii ni kwa ajili ya ubalozi kujirizisha kwamba una pesa ya kuishi kule,,,,ukifika kule hamna ada kabisa hata ukitaka hadi PHD...nenda kasome na ubebe box ukirudi bongo una cheti na mtaji....kwa ushauri zaidi waweza kunipm
 
kama budget yako haitoshi nenda malaysia kuna kuna vyuo vya uk na usa wamefungua branch zao huko so unaweza kusoma kwa life poa huko zaidi ili usiingie mkenge ubalozi wao wanaweza kukusaidia kwa kuangalia vyuo huko ambavyo vina branch huko, ila ki ukweli uk nowdays panatisha kuanzia ada na hata upatikanaji wa kazi wa kubeba mabox bado ni tatizo siku hizi.
 
mdau nenda south africa,turkey ada ni bwerere...ila kama unataka usome na kujiingizia kipato nenda norway,,,hawana ada hata kwa international student...ilaunatakiwa pale ubalozini watakufanyia process ya kufungua account norway ambayo unatakiwa uweke not less than 20m kama utaratibu hawajabadili,,,,hii ni kwa ajili ya ubalozi kujirizisha kwamba una pesa ya kuishi kule,,,,ukifika kule hamna ada kabisa hata ukitaka hadi PHD...nenda kasome na ubebe box ukirudi bongo una cheti na mtaji....kwa ushauri zaidi waweza kunipm

po mkubwa ntakuPM, thanx in advance
 
mdau nenda south africa,turkey ada ni bwerere...ila kama unataka usome na kujiingizia kipato nenda norway,,,hawana ada hata kwa international student...ilaunatakiwa pale ubalozini watakufanyia process ya kufungua account norway ambayo unatakiwa uweke not less than 20m kama utaratibu hawajabadili,,,,hii ni kwa ajili ya ubalozi kujirizisha kwamba una pesa ya kuishi kule,,,,ukifika kule hamna ada kabisa hata ukitaka hadi PHD...nenda kasome na ubebe box ukirudi bongo una cheti na mtaji....kwa ushauri zaidi waweza kunipm

Mkuu sasa wakikufungulia acc then ukimaliza hyo hela wanachukua ubalozi au inakuwa ya kwako? Da ngoja nikusanye nikapige box norway! Bongo michosho!
 
kama budget yako haitoshi nenda malaysia kuna kuna vyuo vya uk na usa wamefungua branch zao huko so unaweza kusoma kwa life poa huko zaidi ili usiingie mkenge ubalozi wao wanaweza kukusaidia kwa kuangalia vyuo huko ambavyo vina branch huko, ila ki ukweli uk nowdays panatisha kuanzia ada na hata upatikanaji wa kazi wa kubeba mabox bado ni tatizo siku hizi.
naona UK ss hv pamekuwa na maisha expencv sn yaan
 
naona UK ss hv pamekuwa na maisha expencv sn yaan

mkuu hapafai kabisa siku hizi sio kama zamani watu walikuwa wanakuja na hela kidogo maisha yanaenda maana atapata kazi siku hizi hizo kazi ni za kulilia
 
Mkuu sasa wakikufungulia acc then ukimaliza hyo hela wanachukua ubalozi au inakuwa ya kwako? Da ngoja nikusanye nikapige box norway! Bongo michosho!

hela inabai kuw a ya kwako....for more infos nenda ubalozi wao pale posta mirambo 50 watakupa full data
 
hela inabai kuw a ya kwako....for more infos nenda ubalozi wao pale posta mirambo 50 watakupa full data
hapo sawa sema mh!!! hiko kigezo cjakipenda, hawajui km wengine tunategemea kutumiwa ela kwa awamu awamu
 
ni nchi gani ambayo inatoa masterz nzuri na ada yake sio ndefu sn? niliapply vyuo vya UK ila ada inarange kwny 25M mpk 35M hivi ambapo kwa private wala ctaweza kujilipia, nishaurini nigoogle vyuo vya nchi gani gani, au nikipata link pia itakuwa vzr sn

Germany itakufaa sana.
 
Back
Top Bottom