Lutala
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 848
- 103
Kwa wale wanaojua sheria za kazi. Mimi ni mtumishi katika moja ya kampuni binafsi jijini Dar. Mwezi ulopita nilimjibu vibaya bosi wangu wa kitengo (idara). Siku saba baadaye akaniandikia barua ya kutaka nitoe maelezo kwanini nilimjibu vibaya. Wakati nipokea barua hiyo yaani ndani ya masaa matatu nilipata barua kutoka kwa mkurugenzi kunifahamisha kuwa nimesimamishwa kazi kupisha uchungu. Kinachonisikitisjha ni kuwa hata sijajibu barua ya kutoa maelezo sehemu ya hukumu ishapitishwa.
Kwa wale manojua sheria za kazi hivi kweli haki imetendeka katika suala langu? Ni taratibu gani nifuate kujupata mustakabali wa suala langu?
Naombeni msaada wenu wadau
Kwa wale manojua sheria za kazi hivi kweli haki imetendeka katika suala langu? Ni taratibu gani nifuate kujupata mustakabali wa suala langu?
Naombeni msaada wenu wadau