hello wana jf,hvi inawezekana kusikiliza radio kwa njia ya internet kwa sim yoyote yenye uwezo wa kuaccess net.
hello wana jf,hvi inawezekana kusikiliza radio kwa njia ya internet kwa sim yoyote yenye uwezo wa kuaccess net.
Nafkiri kwa nokia yes ila utumie web browser na sio 3rd party browser kama operamini
itabidi uitwe mr.Nokia.
mimi nina nokia, napata radio nyingi sana za bongo na za kimataifa, sijui wewe unatumia simu gani.!
itabidi uitwe mr.Nokia.