Kwa wanajamii wenzangu...
Yah: Kushukuru na kuaga
Jamani, nimekuwa full member tangu december, 2010. Nilianza kama mchezo tu lakini sasa nimeanguka, nimezama... Mlango niliopitia ni jukwaa la siasa..taratibu, nikaanza kutembelea vyumba kama jukwaa la technologia, nafasi za kazi, etc...nilikosea pale nilivoingia master bedroom...Jukwaa la Mahasiano, Mapenzi na Urafiki.
I really wana stay here, but kwa hii miezi miwili, I have to admit, nimekuwa bize kupitiliza, nikifatilia hii thread, kabla sijamaliza imeshaanzishwa nyingine, na tatizo ni kwamba topics zote ni nzuri na pia huwa nataka kusoma maoni ya kila mtu. Sasa nakimbilia kwenye kutokulala...ili ni catch-up na threads zote, na hivi na bunge limeanza....
Sasa basi, kwa huu mda, nataka tu niwaage (I dont know how long this will take). Najua kuwa socializing is part of life, lakini pia the first step to healing is confession, I confess being an addict.
Its not easy, maana nilikua nimewazoea watu wengi, yaani to the extent kwamba kabla mtu hajacomment, unakuwa ulishahisi huyu atacomment nini, its one big family where there no boundaries, no segregation, and where people accept you (or your avatar), for who you present yourself to be. Na pia nimejikuta nafall for this forum, coz watu sio pretenders (kama wapo ni wachache sana), ukileta uzuri, watu wanakwambia live...I luuurrrrrve JF.
Thanks everyone for every word that brought a smile to my face, any words that brought hope to this nation, and the un-ending advice that you people are always willing to give. I will miss JF.
My hope is that one day, this will be real, that I will sit and be surrounded by the great thinkers...I wish, and I wait.
Stay blessed and keep those smiles coming...life is too short.
Remember
Your happiness is not someone else's responsibility.... Usijipunje, make yourself happy
Leney
Yah: Kushukuru na kuaga
Jamani, nimekuwa full member tangu december, 2010. Nilianza kama mchezo tu lakini sasa nimeanguka, nimezama... Mlango niliopitia ni jukwaa la siasa..taratibu, nikaanza kutembelea vyumba kama jukwaa la technologia, nafasi za kazi, etc...nilikosea pale nilivoingia master bedroom...Jukwaa la Mahasiano, Mapenzi na Urafiki.
I really wana stay here, but kwa hii miezi miwili, I have to admit, nimekuwa bize kupitiliza, nikifatilia hii thread, kabla sijamaliza imeshaanzishwa nyingine, na tatizo ni kwamba topics zote ni nzuri na pia huwa nataka kusoma maoni ya kila mtu. Sasa nakimbilia kwenye kutokulala...ili ni catch-up na threads zote, na hivi na bunge limeanza....
Sasa basi, kwa huu mda, nataka tu niwaage (I dont know how long this will take). Najua kuwa socializing is part of life, lakini pia the first step to healing is confession, I confess being an addict.
Its not easy, maana nilikua nimewazoea watu wengi, yaani to the extent kwamba kabla mtu hajacomment, unakuwa ulishahisi huyu atacomment nini, its one big family where there no boundaries, no segregation, and where people accept you (or your avatar), for who you present yourself to be. Na pia nimejikuta nafall for this forum, coz watu sio pretenders (kama wapo ni wachache sana), ukileta uzuri, watu wanakwambia live...I luuurrrrrve JF.
Thanks everyone for every word that brought a smile to my face, any words that brought hope to this nation, and the un-ending advice that you people are always willing to give. I will miss JF.
My hope is that one day, this will be real, that I will sit and be surrounded by the great thinkers...I wish, and I wait.
Stay blessed and keep those smiles coming...life is too short.
Remember
Your happiness is not someone else's responsibility.... Usijipunje, make yourself happy
Leney