Wadau, ninaomba msaada kuhusu maswali mawili :
- Kwanini thamani ya shilingi inashuka wakati bei ya dhahabu inapanda kwa kasi kwenye soko la dunia
- Serikali ina mkakati wowote unaodhibiti hali hii inayosababisha bidhaa zote zinazoagizwa hasa mafuta kupanda kila wakati kutokana na kushuka kwa thamani ya shilingi..
- Kwanini thamani ya shilingi inashuka wakati bei ya dhahabu inapanda kwa kasi kwenye soko la dunia
- Serikali ina mkakati wowote unaodhibiti hali hii inayosababisha bidhaa zote zinazoagizwa hasa mafuta kupanda kila wakati kutokana na kushuka kwa thamani ya shilingi..