GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
aisee ni muhimu sana kusali kabla na baada ya kula,
na kuona watoto wanapokula inalipa sana
reflection ya aspirin?
aisee ni muhimu sana kusali kabla na baada ya kula,
na kuona watoto wanapokula inalipa sana
no no noooooo!
i ain't comply with that timetable.....!
YOU BETTER PUT THAT WOMAN AND A FAMILY FIRST....!
hizo makitu mingine hizo noooooooo!
ni hatari sana kuzifanya nyumba zetu kama SEHEMU YA KULALA TU (guest house),yani tukifika tu ni kuoga na kulala,tena kukoroma kwa nguvu
chakula kiliwacho mkiwa mmevaa nguo.
hahahaha!Nafasi yao iko wazi kuwa wao ni nambari wani: Kujitolea shea yangu ya msosi kwao.... Kama walikuwa wanakula finyango viwili vya nyama watakula vinne, yote kwa hisani ya baba.
yah!
unawezekana kabisa
at least kupunguza kazi za nje
KAZI ZA NJE zinakufanya uwe bize sana halaf ''for nothing'' kwakuwa in a long run WANAWAKE NI WALE WALE....!hakuna kitu kipya sana utakikuta huko nje
hehehehe!
we mpwa sikiliza bana
pamoja na NDOA,you still need friends to hold your hand,or give you a ladder to climb.
ni kuugawa muda wako tu na kujua leo unafanya nini na kesho unafanya nini!
I THINK EVERYBODY NEEDS A TIME WITH HIS FAMILY.....!na marafiki pia
do some partitioning
hahahaha!
mkuu mie nina karatiba fulani kakukaa na familia walau mara tatu kwa wiki.....trust me
Huyo ataulizia nguo gani....achana na hii babu crap....
Habari zenu binafsi?!....
Awali ya yote napenda sana kumshukuru sana MAANANI,kwani ni yeye pekee anaetuweka mimi na wewe DUNIANI.Natumia Fursa hii adimu kuwashukuru sana wetu mimi na wewe WAZAZI,kwa kazi ngumu ya kutuleta sisi DUNIANI
STRAIGHT KWENYE HOJA:
TEAMO anawashauri wakina baba wenye familia zenu kujijengea tabia ya KUSHIRIKI chakula cha pamoja na FAMILIA walau mara nne kwa wiki (MSISITIZO:walau mara nne kwa wiki).Wikileaks imegundua kwamba manung'uniko ya hapa na pale ya WAKE ZETU yanachangiwa sana na ''ushiriki finyu'' wa chakula cha pamoja na familia.
TEAMO anawapenda sana na anazijali sana ndoa zenu ndio maana anasema kupunguza kutokuelewana kwa hapa na pale katika familia tujaribu kushiriki pamoja na mama na watoto walau hata DINNER tatu kwa wiki na LUNCH moja weekend.
TEAMO anaamini kwamba wakati mwingine MAPENZI NA FAMILIA ZETU huamshwa na kuanzia mezani.kwa kufanya hivi tutajipunguzia possibilities za kujilimbikizia infiiz ''unnecessarily''.Tutawafanya wake zetu kuwa MIPANGO YOTE,yaani mpango mzima na mpango wa kando anakuwa yeye mwenyewe...
TEAMO IS STANDING TO BE CORRECTED
Yours' Sincerely,
TEAMO aka BABA G
yaani mkuu kuwahi jana kidogo tu na ukala dinner na familia basi ndo tabu yote hii
Huyo ataulizia nguo gani....achana na hii babu crap....
Halafu wewe usijidai kuongea sana hapa pale baa mpya, kibila, sia, oceanic bay na kingstar huwa unatafuta nini kila siku??? Hiyo dinner unakula lini na mama g??? Acha kuongopea watu aakkkhhhh ushaniudhi kabisa
Halafu wewe usijidai kuongea sana hapa pale baa mpya, kibila, sia, oceanic bay na kingstar huwa unatafuta nini kila siku??? Hiyo dinner unakula lini na mama g??? Acha kuongopea watu aakkkhhhh ushaniudhi kabisa
Uzuri wa Teamo ni anafutailia sana mafundisho ya dini....hasa yanayosema 'fuateni maneno yangu na sio matendo yangu'
jamani jamani mbona mnapingana na ukweli?Halafu wewe usijidai kuongea sana hapa pale baa mpya, kibila, sia, oceanic bay na kingstar huwa unatafuta nini kila siku??? Hiyo dinner unakula lini na mama g??? Acha kuongopea watu aakkkhhhh ushaniudhi kabisa
Masahihisho ya Hoja yatafanyika pale JJ kuanzia saa kumi na mbili leo jioni!
Kuna masuala mengi muhimu yamekuwa skipped!
hahahaha!
vijana hamtaki kumwamini mfalme wa AMANI