Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

TEAMO anaamini kwamba wakati mwingine MAPENZI NA FAMILIA ZETU huamshwa na kuanzia mezani.kwa kufanya hivi tutajipunguzia possibilities za kujilimbikizia infiiz ''unnecessarily''.Tutawafanya wake zetu kuwa MIPANGO YOTE,yaani mpango mzima na mpango wa kando anakuwa yeye mwenyewe...

Hivi kumbe hii TEAMO inawezekana eeeh?
yah!
unawezekana kabisa

at least kupunguza kazi za nje

KAZI ZA NJE zinakufanya uwe bize sana halaf ''for nothing'' kwakuwa in a long run WANAWAKE NI WALE WALE....!hakuna kitu kipya sana utakikuta huko nje
 
Sasa mkishakutana na Eliza, kuna kula tena wali kwa ubinzi wa mama matesha?
hehehehe!
we mpwa sikiliza bana

pamoja na NDOA,you still need friends to hold your hand,or give you a ladder to climb.

ni kuugawa muda wako tu na kujua leo unafanya nini na kesho unafanya nini!

I THINK EVERYBODY NEEDS A TIME WITH HIS FAMILY.....!na marafiki pia

do some partitioning
 
TEAMO anaamini kwamba wakati mwingine MAPENZI NA FAMILIA ZETU huamshwa na kuanzia mezani.kwa kufanya hivi tutajipunguzia possibilities za kujilimbikizia infiiz ''unnecessarily''.Tutawafanya wake zetu kuwa MIPANGO YOTE,yaani mpango mzima na mpango wa kando anakuwa yeye mwenyewe...

Hivi kumbe hii TEAMO inawezekana eeeh?

Huyu dogo jana alikuwa na dozi ya panadol akawahi home kula na mkewe, leo tutamkoma.
 
TEAMO anaamini kwamba wakati mwingine MAPENZI NA FAMILIA ZETU huamshwa na kuanzia mezani.kwa kufanya hivi tutajipunguzia possibilities za kujilimbikizia infiiz ''unnecessarily''.Tutawafanya wake zetu kuwa MIPANGO YOTE,yaani mpango mzima na mpango wa kando anakuwa yeye mwenyewe...

Hivi kumbe hii TEAMO inawezekana eeeh?
kwanini isiwezekane?
 
hehehehe!
we mpwa sikiliza bana

pamoja na NDOA,you still need friends to hold your hand,or give you a ladder to climb.

ni kuugawa muda wako tu na kujua leo unafanya nini na kesho unafanya nini!

I THINK EVERYBODY NEEDS A TIME WITH HIS FAMILY.....!na marafiki pia

do some partitioning

There you go!!! It all depends how you plan including timing
 
Ushauri mzuri Teamo, naamini inawezekana endapo utaupangilia muda wako vizuri. Ikishindikana basi angalau wakati wa weekend.
 
hehehehe!
we mpwa sikiliza bana

pamoja na NDOA,you still need friends to hold your hand,or give you a ladder to climb.

ni kuugawa muda wako tu na kujua leo unafanya nini na kesho unafanya nini!

I THINK EVERYBODY NEEDS A TIME WITH HIS FAMILY.....!na marafiki pia

do some partitioning

Hahahaha

Haya:
Leo unakuwa na marafiki wa JF...wanywa bia na kitimoto
Kesho unakutana na marafiki majirani: Wanywa bia na mbuzi choma
Keshokutwa unakutana na maskulimeti: Wanywa konyagi na makongoro
Siku inayofuata zamu ya Infii: Bia, maini na kitanda
Then unakutana na workmates: Bia, porojo, blah blah, mkia
Siku nyingine twenzetu shamba...unakutana na Acid na Teamo....bia, poo table nyama
Siku nyingine..........

Hivyo hivyo unajikuta wiki imekata. Kina mama wanalazimika kutusamehe na kutuelewa.
Tuna ratiba ngumu sana.
 
Ushauri mzuri Teamo, naamini inawezekana endapo utaupangilia muda wako vizuri. Ikishindikana basi angalau wakati wa weekend.
yah!
unaweza ukakosa kabisa weekdays lakini ukaamua wekend yako kuspend na familia for chakula....

i tell you guys THERE IS A MEANING TO IT!...kuna maana kubwa sana ya kufanya hivyo
 
I second you Teamo.......pia kumbukeni kusali pamoja kabla ya kula......
BTW: It feels good kuona watoto wako wanavyokula......
 
Nshapiga valuu zangu, nakutana na wali kwa samaki aliyeungwa kwa nazi.

Kutapika mbele ya watoto ni heshima mbaya kwa mzazi.

Ushauri wako mzuri, binafsi ntauzingatia kwa msaada wako kama ifuatavyo:
Usiwe unanipigia simu na kuniuliza "Leo hutoki"?
Mwambie Baba Enock asiwe ananipa salamu za Emmy
Mwambie Generation Y asiwe ananitafutia sababu kwa maswali ya kichokozi kama "bia na mshahara kipi kitamu"
Listi itaendela shortly....

Leo Babu umeamua kunichekesha kupita kiasi nimecheka mpaka nimezimia kwa hii post
 
Hahahaha

Haya:
Leo unakuwa na marafiki wa JF...wanywa bia na kitimoto
Kesho unakutana na marafiki majirani: Wanywa bia na mbuzi choma
Keshokutwa unakutana na maskulimeti: Wanywa konyagi na makongoro
Siku inayofuata zamu ya Infii: Bia, maini na kitanda
Then unakutana na workmates: Bia, porojo, blah blah, mkia
Siku nyingine twenzetu shamba...unakutana na Acid na Teamo....bia, poo table nyama
Siku nyingine..........

Hivyo hivyo unajikuta wiki imekata. Kina mama wanalazimika kutusamehe na kutuelewa.
Tuna ratiba ngumu sana.
no no noooooo!
i ain't comply with that timetable.....!

YOU BETTER PUT THAT WOMAN AND A FAMILY FIRST....!

hizo makitu mingine hizo noooooooo!

ni hatari sana kuzifanya nyumba zetu kama SEHEMU YA KULALA TU (guest house),yani tukifika tu ni kuoga na kulala,tena kukoroma kwa nguvu
 
I second you Teamo.......pia kumbukeni kusali pamoja kabla ya kula......
BTW: It feels good kuona watoto wako wanavyokula......
aisee ni muhimu sana kusali kabla na baada ya kula,
na kuona watoto wanapokula inalipa sana
 
hahahaha

haya:
Leo unakuwa na marafiki wa jf...wanywa bia na kitimoto
kesho unakutana na marafiki majirani: Wanywa bia na mbuzi choma
keshokutwa unakutana na maskulimeti: Wanywa konyagi na makongoro
siku inayofuata zamu ya infii: Bia, maini na kitanda
then unakutana na workmates: Bia, porojo, blah blah, mkia
siku nyingine twenzetu shamba...unakutana na acid na teamo....bia, poo table nyama
siku nyingine..........

Hivyo hivyo unajikuta wiki imekata. Kina mama wanalazimika kutusamehe na kutuelewa.
Tuna ratiba ngumu sana.

hahahahahahahahahahahhahahaaha
 
yah!
unawezekana kabisa

at least kupunguza kazi za nje

KAZI ZA NJE zinakufanya uwe bize sana halaf ''for nothing'' kwakuwa in a long run WANAWAKE NI WALE WALE....!hakuna kitu kipya sana utakikuta huko nje

Kipya ni Tigo utaipata nje ndani sooo au???
 
habari zenu binafsi?!....

Awali ya yote napenda sana kumshukuru sana maanani,kwani ni yeye pekee anaetuweka mimi na wewe duniani.natumia fursa hii adimu kuwashukuru sana wetu mimi na wewe wazazi,kwa kazi ngumu ya kutuleta sisi duniani

straight kwenye hoja:
teamo anawashauri wakina baba wenye familia zenu kujijengea tabia ya kushiriki chakula cha pamoja na familia walau mara nne kwa wiki (msisitizo:walau mara nne kwa wiki).wikileaks imegundua kwamba manung'uniko ya hapa na pale ya wake zetu yanachangiwa sana na ''ushiriki finyu'' wa chakula cha pamoja na familia.

teamo anawapenda sana na anazijali sana ndoa zenu ndio maana anasema kupunguza kutokuelewana kwa hapa na pale katika familia tujaribu kushiriki pamoja na mama na watoto walau hata dinner tatu kwa wiki na lunch moja weekend.

teamo anaamini kwamba wakati mwingine mapenzi na familia zetu huamshwa na kuanzia mezani.kwa kufanya hivi tutajipunguzia possibilities za kujilimbikizia infiiz ''unnecessarily''.tutawafanya wake zetu kuwa mipango yote,yaani mpango mzima na mpango wa kando anakuwa yeye mwenyewe...

teamo is standing to be corrected

yours' sincerely,
teamo aka baba g

yaani mkuu kuwahi jana kidogo tu na ukala dinner na familia basi ndo tabu yote hii
 
Back
Top Bottom