Kushindwa Kwa Romney: Nini Sababu?

Kwa mtazamo tu ni kwamba Mitt Romney kashindwa kwa kuwa wale vijana wengi wenye umri kati ya miaka 18 to 29 wengi wao ni Latino ambao hivi karibuni ndio walipatiwa makaratasi,wanawake wengi pia walichangia ushindi wa Obama hasa kwa ile issue ya healthCare,Afro American karibu robo 3 walimpa Obama na kati ya hawa wote niliojaribu kuwataja wengi wao hata hawaelewi nini maana ya uchaguzi au uchumi unashuka kutokana na nini wao ni kwa sababu Obama basi wakampigia kura.
Pia tukija kwenye sauala la ndoa za jinsia moja kama wengi mlibahatika kuangalia CNN vijana wengi walikuwa hawajui wampe nani kura na wengine hata waligoma lkn walienda kupiga kura baada ya kuambiwa mtapigwa faini pia kuna mshichana mmoja alikuwa hafahamu ampigie nani lkn baada ya siku ya mwisho alihojiwa na akasema mie nimempa Obama baada ya kuona kawapa haki rafiki zangu ambao ni Ma guy so thus why i vote for Obama,utoaji mimba pia ilikuwa ni kigezo cha Obama kupata kurudi white house.Pia tukumbuke 71%ya vijana wanye asili tofauti kama latino,Asia,Afro America nk walimpigia kura Obama.Mie niseme tu kuwa Obama na chama chake walifanya kama CCm yaani hawakujali nini hatima ya maisha ya Wamarekani kwa kuruhusu mambo ambayo yako kinyume kabisa ya Ushoga,Kutoa mimba hata kama mwanamke aliipata kwa boyfriend wake so tu ile hataki kuwa na mtoto basi aitoe,sote tunafahamu kutoa mimba kama hakuna kigezo chochote kama Dr kasema huyu mtu lazima mtoto atolewe kutokana na afya yake may ni mgonjwa wa akili au karepiwa lkn wao hawakujali hilo, hii ni chukizo kwa Mungu.
Obama na chama chake niliwafananisha na CCm kwa kuwa CCm nao hawajali maisha ya Watanzania kwani jinsi wanavyonunua kadi za wapiga kura,rushwa ya kilo za chumvi kwa kuwalaghai WAPUMBAVU,kuwapa T shirt,pombe,Pilau,kutumia vyombo vya dola kuwatisha wanachi nk.Kwa hapa chini kwa Marekani hawafanyi hivyo
 
Ameshindwa sababu ni freemason,illuminati, seriously. Hawa ndio watu ambao wameiharibu Dunia,watu ambao wanamiliki Mabenki,wanakopesha fedha kwa riba kubwa ambayo hakuna mtu yoyote anaweza kuilipa.
 
Romney hakua chaguo zuri kwa republicans hilo ni la kwanza kwa sababu hata wakati wa primaries republicans wenzake walikua wanampinga alafu baadhi ya policies zake hazikuvutiwa na vijana na single women ambao ndio hao waliompa kura nyingi obama...
 
alafu kumbukeni kabla ya obama wapiga kura wengi walikua ni watu wazungu na watu wazima na republicans walikua wanawategemea hao kwenye kura lakini toka obama aingie ameweza kuhamasisha watu weusi/latino/hispanic na vijana kujitokeza kwa wingi kupiga kura so vijana wengi kuanzia 18 wengi walikua hawajahi kupiga kura maishani mwao wakajitokeza kupiga kura ile juzi kulikua kuna foleni ya watu wengi wanajiandikisha kupiga kura kwa mara ya kwanza...sasa hao ndio waliomueka obama white house
 
Last I checked Ronald Reagan was a former governor of California and a massively popular two-term president who won two landslide presidential elections and one of which he won 49 out of 50 states!

Communication skills za Reagan zilimfanya awe anatoa ujumbe bila matatizo sio kama plastic Romney.
 
Katika chaguzi za Marekani kuna two stages; Moja, kupata nomination kwenye chama na pili Kuomba kura kwa wananchi. Romney alitumia muda wake mwingi kupanga mikakati ya kupata nomination kubeba msalaba wa Republican. Hapa ndipo alipojikita zaidi akitegemea vita kubwa zaidi. Na kweli ilimtoa jasho hasa akikumbuka changamoto alizozipata mwaka 2008 kabla ya kujitoa. Ufuasi wake wa Mormon ulikuwa kikwazo hata kwa hardliner republicans.

Baada ya kupata nomination ndipo akaanza kupiga campaign za nchi. Nafikiri yeye na timu yake wamefanya kazi ya ziada kuweza kumshinda Obama ambaye hakuwa na kazi kubwa ya kujiandaa kwenye nomination ya Democrats. Sitashangaa kama 2016 Romney atakuwa Rais wa Marekani.

Wakati anapigania nomination kwa madongo aliyopata kutoka kwa wapinzani wake yalimfanya abadili itikadi zake. Baada ya kupata nomination akawa na mzigo mkubwa wa kurudi kwenye itikadi zake za mwanzo.

Swali kwani hakubaki kwenye itikadi zake tu.
 
Huu ni uchambuzi au pumba? Anyway, Romney kashindwa kwa sababu nyingi tu, baadhi zikiwa ni:-
  1. Kutokuwa na msimamo katika masuala muhimu. Ikumbukwe kuwa Romney alikuwa na misimamo tofauti tangu kwenye Republican primaries na baadaye kuibadili baadhi ya misimamo hiyo baada ya kuteuliwa na Chama chake. Hii ilionyesha ni jinsi gani anaweza kubadilikabadilika ili mradi apate kura
  2. Hakujishughulisha na watu masikini na wenye kipato cha kati. Sera zake za kuwapa punguzo la kodi matajiri eti wawe na uwezo wa kupanua ajira kwa wananchi wenye vipato vya chini na kati zilimponza. Hii Top-down approach ya Romney kwenye ku-solve matatizo mara nyingi haiwi na mafanikio kama ile ya Bottom-up approach ya Obama. Obama alipigania watu wenye vipato vya chini na kati na kuahidi kuwabana matajiri wakubwa ambao kwa kawaida hawahitaji msaada wa unafuu kutoka serikalini
  3. Ubaguzi. Ikumbukwe kuwa Romney alionyesha ubaguzi wa wazi sana na yeye, Republicans pamoja na timu yake ya kampeni hawakutaka, kujali wala kuheshimu uwepo wa matabaka mbalimbali na mchanganyiko wa watu wa Marekani (American population diversity). Wao waliamini kuwa only The Whites ndio walengwa wa siasa za Marekani na kuwapuuza minorities (ambao sasa sio tena minorities) kama vile Hispanics, African Americans, Latinos, etc. Pia, Romney hakuweza kuwavutia sana wanawake hasa lilipokuja suala la mimba na afya ya uzazi.
  4. Alichelewa sana au hata kutoifanyia kazi kabisa mikakati yake mizuri kama vile early get-out-to-vote. Wafuasi wengi wa Democrats huhamasishwa kupiga kura mapema na hata Obama mwenyewe safari hii alipiga kura mapema kama njia ya kuhamasisha wafuasi wake. Romney hakuweza sana na hata alipohamasisha haikuwa kwa kiwango kikubwa. Matokeo yake, Republicans wengi walipumbazwa na ile Debate ya kwanza na kuamini kuwa Mitt Romney angeshinda na kusahau kuwa ni kura tu (na sio ukosoaji au uongeaji mzuri wa mgombea) ndizo zinazompa ushindi mgombea.
  5. Hata wanaomsifu Romney eti angeweza kufufua uchumi wa Marekani kisa tu ni mfanyabiashara maarufu, walishindwa kuonyesha (ku-link) ni namna gani angeweza kufanya hivyo akiwa White House. Kuendesha biashara binafsi ni tofauti na kuendesha nchi! Kwenye midahalo Romney mara kadhaa alimkosoa Obama kwa kuongezeka kwa deni la Taifa na ukosefu wa Ajira. Alipoulizwa ni njia zipi angezitumia ktk kupunguza na hata kuondoa deni hilo hakuwa na specifics. Kuwa bingwa wa kukosoa tu pasipo kutoa njia za kutatua matatizo husika kulimuonyesha Romney kuwa ni mtu wa kuota tu "and hence Romnesia" pasipo kuwa na uhalisia.
Hayo na mambo mengi ni baadhi tu ya sababu za Romney kuangukia pua licha ya fedha nyingi (zaidi ya $ 1billion) kutumika katika kampeni zake.

Mimi ni republican na kwenye uchaguzi nilikwenda kwa ajili ya state issues. Sikumpigia Romney kwa sababu kama ulizoeleza. Kwenye first debate ingawa Obama aliboronga, Romney hakuwa na substance yoyote.

Kwa mfano kwenye alisema kuwa mabenki yanashindwa kukopesha kwa sababu ya regulations. Na akasema kuwa akiingia atafuta regulation hili mabenki yakopesha na watu waweze kununua nyumba.

Ukweli wa mambo ni kuwa watu hawanunui nyumba kwa sababu soko la nyumba ni bovu. Vilevile nyumba nyingi zimo kwenye foreclosure au underwater.
 
Z10, wanabodi wamechangia hoja nyingi za msingi zilizosababisha Romney ashindwe. Naomba kuongezea muonekano wa Obama na mkewe pia ulikuwa na mvuto kwa wapiga kura. Ile familia ina mvuto fulani ambao umeifanya kukubalika na Jamii apart from sera.

Pia mke wa Obama amekuwa kivutio kwa Wanawake na wanaume pia. Nyota zao zinangaa Z10. Pia mchango wa Gaijin pia una maana, usisau TZ wengi walihagua Rais handsome, ukiuliza sera wanakwambia tabasamu lake sio la kawaida nk Wakati wa Mhe. Mkapa ilibidi mwl afanye kazi ya ziada. Nakuwaammbia huyo mzuri mkanywe nae chai.

Mwisho nimependa Mgombea anavyotafuta kura mwenyewe kwa asilimia kubwa na sio kubebwa na mara ohhh wakongwe, Mara ohhh chama n.k TZ we need a president who can stand alone, kwa muda mrefu tunaona watu wakibebana, inatosha.

Queen Esther

Nadhani wapiga kura wa Obama walichafanya chaguo lao mapema. Sijuhi hiyo ilitokana na uzuri, nyota, urefu au nini? Walifanya hivyo zamani hata kabla ya kampeni azijaanza rasmi. Team ya Obama ilichofanya ni kuwahimiza kwenda kupiga kura.

Kwenye debate ya kwanza, Romney alifanya vizuri. Kufanya kwake vizuri kulihamasisha republicans lakini sio kuchukua wapiga kura wa Obama.

Baada ya debate ya kwanza sikusikia washabiki wa Obama kubadilisha mawazo, bali walisisitiza kuwa Obama atafanya vizuri baadaye.
 
Sababu kubwa ni Independents kumsupport Obama zaidi ya Romney.

Romney kapata asilimia 50 ya kura za independents wakati Obama kapata 45%

Kundi kubwa lililompa Obama ushindi ni vijana ambao ni liberals na of course latinos.
 
Sababu kubwa ni Independents kumsupport Obama zaidi ya Romney.



Also, Obama campaign kama kawaida was full of community organizers ... ambao walitumia mbinu ya ku-mobilize Hippies kwenye toss up states kama za wisconsin capitalizing on Scott Walker's anti union stance....
Colorado ....weed.
Minnnesota gay rights. They almost got rid of Michelle Bachmann.
Pennyslvania na Ohio were easily won through their increased urbanization and improved middle class suburbs pamoja na immigrants wakatumia Auto bail out na voter supression bills as a platform.

Kwa hiyo generally, repubs and dems are fifty fifty, but if you capitalize on some issues that are at state level you are likely to get the toss up states., Thats what the Obama camp did..

This is absolutely true; nimepita leo maeneo ya Detroit nimekutana na bango likitangaza "Activists wanted" nilipolisoma karibu linasema "Get paid between 75-100 a day kwa kuandikisha watu wanaotaka kupiga kura (kuwahamaisha).
 
Naona mnahangaika na sababu za Romney kushindwa, mwenzenu ni mtu wa hesabu na si mchambuzi wa siasa...hivyo sitahangaisha kichwa changu bure...ukweli ni kuwa Romney kashindwa kwa sababu Obama kapata kura nyingi kumpita! Hebu fikirieni;

  1. Kuna wakati wastani wa michango kwa Obama kutoka watu mbalimbali ilikuwa USD 60 kupitia kwa inayojulikana kama a small-donor fueled, internet-based effort that rewrote the presidential campaign playbook.
  2. Katika kipindi hicho hicho wastani wa michango kwa Romney ilikuwa USD 2,400...kiwango kinacholingana na mchango wa watu arobaini kwa Obama!
Kama jumla ya michango kwa Obama imezidi jumla ya michango kwa Romney, kwa hesabu za haraka haraka watu wa Obama watakuwa wengi kuliko wa Romney (indirect proportion!) Pamoja na hayo, haijalishi umechangia kiasi gani, kura yako inabakia hiyo hiyo moja!


 
Hivi kwa kuangalia kura za watu (forget the electoral college for a minute) ni kweli unaweza kusema sera za republicans hazina mashabiki sana Marekani?

Mwanakijiji sio kama kuna tofauti kubwa kati ya Mitt Romney na Obama, au GOP na DEMS.

Ukiangalia unaweza kuona kuwa kampeni kubwa aliyofanya Romney alikuwa anasema jobs jobs jobs, ndio alikuwa anataka ajioneshe kua yeye ni unique na Obama, vingine vyote alikuwa sawa na Obama. Hata Obamacare aliyokuwa anasema atai-repeal ukiangalia kule Massachusetts utaona alifanya kile kile anachosema Obama.

Kuna watu walimpigia kura Romney kwa sababu ni mzungu lakin i si kwa sababu wanakubaliana naye, na si kama hawakubaliani na Obama, (Tea Party) ukiangalia utaona kuwa wengi ni wale wa vijijini, Obama ameshinda zaidi mijini.

sababu za kushindwa kwa Romney kwanza ni kuwa hakuwa na jipya

Ni cult member, na inaaminika kuwa ni descendant wa reptilians

Kama unakumbuka anawadharau watu.....(47% of Americans on food stamp)

Hana msimamo......anabadilisha posoitions mara kwa mara kwenye key issues(opportunist)

Aliwakasirisha sana wanawake kwa kutoa anti-women and anti-women rights comments.

Aliwakasirisha American jews wengi kwa kumsifu Netanyahu na kuongea pumba alipokuwa ISarel

Alipokuwa ziarani Ulaya alionesha kabisa kuwa hana uwezo wa kuwa commander in Chief

Kwenye issues za foreign policy alimsifu sana Obama kuwa amefanya vizuri na kuonekana kuwa hatafanya tofauti



kuna sababu nyingi, lakini kubwa ni kuwa hakuwa na jipya la maana.
 
Sababu kubwa ni Independents kumsupport Obama zaidi ya Romney.

Pili, like Palin, Paul Ryan was a polarizing figure.Behind a moderate (flip flopper) Republican, just as Mcain was a moderate.

Tatu, the best campaign team ever assembled ... Dave Axleroid ameorganize strategy nzuri sana kwa kupigania suburban middle class voters. Hasa suburbs za swing states campaign ya Obama ilikuwea intense.Na alicapitalize on women too!! especially kwenye contraception ambayo ilikuwa a big mistake for republicans.Instead of insisting on abortion issue wakaenda far to contraception .... that wasn't smart na Obama camp wakaitumia.

Kwa mfano, Obama amecapitalize softer stance ya Raul Castro na kurahisisha utumaji hela, cell, phones na laptops Cuba. Pia uwezekano wa kusafiri kwenda kuona families Cuba ... hii imedilute ukali wa Miami cubanos (ukizingatia baadhi ya hawa immigrants wana allegiance to kennedies/dems based on bay of the pigs na pia watoto wao kukua na kuchukua a more liberal stance) Hii imemfanya angalau aweze kuchukua Florida.

Also, Obama campaign kama kawaida was full of community organizers ... ambao walitumia mbinu ya ku-mobilize Hippies kwenye toss up states kama za wisconsin capitalizing on Scott Walker's anti union stance....
Colorado ....weed.
Minnnesota gay rights. They almost got rid of Michelle Bachmann.
Pennyslvania na Ohio were easily won through their increased urbanization and improved middle class suburbs pamoja na immigrants wakatumia Auto bail out na voter supression bills as a platform.

Kwa hiyo generally, repubs and dems are fifty fifty, but if you capitalize on some issues that are at state level you are likely to get the toss up states., Thats what the Obama camp did..


Kobello:


Jinsi ya uendeshaji wa kampeni ni sababu kubwa ya mafanikio ya Obama ya 2008 and 2012. Na watu waliopo kwenye kampeni ya Obama walipata vitu viwili muhimu ambavyo havikupatikana kwa watu wa Romney.

Kwanza walikuwa wanalipwa. Pili walipewa mafunzo ya jinsi ya kuwapata wapiga kura na kuwafanya watu waende kupiga kura. Kwenye kambi ya Romney watu walijitolea kwa mapenzi yao. Nitatoa mifano miwili.


2008 Kijana mzungu wa kampeni ya Obama ameshuka South Carolina kupiga kampeni. Kampeni ya Hilary Clinton tayari ilishawajaza mapesa mapastor weusi wapige kampeni makanisani. Kijana aliacha makanisa na kuanza kutumia saloon za kusuka na kunyoa nywele. Kwa kufanya hivyo aliondoka na utamaduni uliopitwa na wakati wa kupiga kampeni.

Mfani wa pili: kwenye saloon watu walikuwa hawamjuhi Obama ni nani. Na wengine wakawa wanasema kuwa sio mweusi kweli. Kijana wa kizungu akapeleka taarifa Chicago. Kule ikabidi zipigwe picha za Obama na familia yake. Watu kuona posta za Michelle, wakamkubali Obama.

Sasa turudi nyumbani Tanzania. Kampeni za Chadema, CCM, CUF n.k zinafanana. Je kuna uwezekano wa kutumia mbinu kama za Obama kuing'oa CCM au CCM kubakia madarakani?
 
Hiki kigleza ukiongea mbele ya wanao sebleni, na ukiwaambia ulikua wa kwanza darsani kila mtihani, hata Makerere phd ulichukulia huko, hrakuna atakayekubishia.
 
jamani huyu jamaa mda si mrefu katoka ku post kituko kingine...lol this is so scintillating:becky:
 
Back
Top Bottom