sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 644
- Thread starter
- #21
Kusahau inakuwa ni ngumu ila kumtakia mtu uliyemsamehe kuwa nimekusamehe ila sitakusahau ni kama hujatekeleza sawa sawa msahama wako
Msamehe na ishi kawaida na lione tukio limepita japo kuna sehem unakumbuka kitu kinakutia machungu ila usimlaani yule mhusika moyoni mwako kuwa bila yeye lisingetokea
Lakini mbona mwenyezi mungu anatusamehe makosa yetu?