Kusaidiana na mwenza wako ni muhimu!!!!!

Limbwata at work. Nitamtafuta huyo jamaa kwenye picha na kumpeleka kwa Tekelo ama Kalembwana ili azinduliwe.
 
Hivi kwa sisi Waafrika halisi kusaidiana kwa jinsi hii na mzazi mwenzako kunawezakana, au tunaiga wazungu????? TUJADILI!!!


kuna raha yake ukisaidiana na mamsapu, tatizo mimamsapu ya kiswahili ukilisaidia ,ooh nimemuweka kiganjani yule hafurukuti
 
Mi siwezi kuongea uongo ili nionekane nafaa hapa JF mbele ya wadada, then nigongewe vi-thanks wakati kiukweli nilichokisapoti sifanyi hata siku moja. Kuna watu wamekuwa mstari wa mbele kushawishi wenzao fanya hiki, fanya kile na hata kuaminisha watu kwamba wao wanafanya hayo mambo majumbani mwao, si wanajua hakuna wa kuthibitisha wanayosema hapa JF. No evidence, just a talk. Ingekuwa hii JF inamulika na maisha yetu halisi majumbani mwetu . . . .

Watu wanaishi kwa ku-pretend, anasema kwa watu " . . . mi kwangu nafanya hiki, nafanya kile"
 
Samaki mkunje angali mbichi

Kijana wa kiume au wa kike mpaka anafika miaka 25, kwa mujibu wa malezi aliyokulia anajua fika akiwa ktk ndoa anapaswa afanye hiki na kile, leo ghafla anakutana na hicho kitu kinaitwa USAWA au MAPENZI YA KISASA ambapo mama anaweza akawa nje anasukana na mwenzake, baba yuko ndani kabeba mtoto namna hiyo na anaosha vyombo, kisa . . . . eti masap anapumzika kidogo???
Tutabaki tunaongea tu kwa kujifurahisha hapa JF, utekelezaji bado utabaki ZERO
 
mi siwezi kuongea uongo ili nionekane nafaa hapa jf mbele ya wadada, then nigongewe vi-thanks wakati kiukweli nilichokisapoti sifanyi hata siku moja. Kuna watu wamekuwa mstari wa mbele kushawishi wenzao fanya hiki, fanya kile na hata kuaminisha watu kwamba wao wanafanya hayo mambo majumbani mwao, si wanajua hakuna wa kuthibitisha wanayosema hapa jf. No evidence, just a talk. Ingekuwa hii jf inamulika na maisha yetu halisi majumbani mwetu . . . .

Watu wanaishi kwa ku-pretend, anasema kwa watu " . . . Mi kwangu nafanya hiki, nafanya kile"
crap
 
km ni swala la kusaidiana na hutaki kuwa km huyo baba hapo kwenye picha na tuwe na tofauti ya kazi basi,
baba kashika mtoto sebuleni,maza na apike:busu
mmekula na maza aoshe vyombo,mtoto km kalala/anaogeshwa bs na baba aende akasaidie kufua nguo,
:bathbaby:
ni hayo tu,division of kazi at home.thank u:hug:lov 4rever
 
Back
Top Bottom