Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Anayewaambia chupi ikilowekwa ni chafu sana nani? kwa faida ya wote nisikilizeni. wanawake hawaloeki chupi kwa kuwa ni chafu au imevaliwa siku nyingi no, wanawake wengi wasaafi hupendelea kuvaa chupi nyeupe under normal circumstances, na ku take care nguo nyeupe yeyote apart from chupi lazima mara moja moja uwe unailoweka na omo au any detergent. Sasa kama umevaa chupi asubuhi ukarudi jioni kukailoweka kwenye maji ili kesho uifue ing'ae vizuri kuna uhusiano gani uchafu au kuvaliwa siku nyingi? baadhi ya wanawake si kama baadhi ya wanaume wanaoloweka tu kwenye maji na kupikicha kisha kuanika no, mwisho wa siku kama ni nyupe inakuwa ya brown.
welll said dear.