Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
ajabu yake ni nini? kama namfulia na yeye anaweza kunifulia inapobidi.
hamjakutana na makofi huko kwenye ndoa nyinyi................. tena mengine ni ya asubuhiasubuhi ukamwonyeshe na huyo bosi wako anayekusarandia hadi unajiona umefuzu unakuwa na kiherehere ..................