Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Clouds Sasa kwa kweli Mna Boa... Kama Huyo Ruge Anahoja na anaona SUGU anamuonea Basi aitishe Press Conferrance na Ajibu Hoja Otherwise Kama hamna vya Kutangaza Zimeni hiyo radio. Mimi anayoongea Sugu naona yupo sahihi ni kweli mtakuwa mnawaminya sana wasanii kwa maana Hata wasikilizaji wenu tu huwa mnawabania, Washindi Mashindano mbali mbali mnayoyaendesha hapo clouds huwa hawapati Zawadi mnazosema, Kwa Mfano kuna wasikilizaji watatu walishiriki lile Shindano la Zantel la High Life wakashinda Lunch at Holiday inn mkasema mtawapigia you never call back na huu ni mwezi wa 3 na Juzi tena mlikuwa mnaendesha ile ya lakionea (Zawadi ya Sh. laki moja) mkahahidi kuwa pigia simu na kuwafungulia account washindi mpka leo hii KIMYAAA. Sasa Boss wenu akiambiwa tapeli mnakuwa Wakali. WHY?? Mjirekebishe. Imekuwa sio radio ya Watu sasa imekuwa Radio ya Wezi!
Mkuu unalazimishwa kusikiliza hiyo radio? Tune Radio Uhuru kama unaona hao wanaboa.