Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,948
- 32,202
come in papito! mbona uko nje?? njoo bwana!Mi nawaangalieni tu!!:hat:
Mpunga si utakusumbua kukoboa? Nakuwa na mchele kabisa.
Haya twenzetu basi acha longolongo mingi...
Mpunga si utakusumbua kukoboa? Nakuwa na mchele kabisa.
Haya twenzetu basi acha longolongo mingi...
umeona eeee?? na kumpuuzia! nimekumiss mamito, upo??
Am cumming darlie.... niko hapa Samaki Samaki namalizia burger....come in papito! mbona uko nje?? njoo bwana!
Hahaha el classico! Ya nn kuhangaika na mpunga wakati kuna mchele uliokobolewa?
Kumbe mzoefu eeeeh, haya bwana......!!!!
nijie na samaki changu! napenda kumla jicho tu mie, na pilipili ya chatna, hafu awe wa kupaka, we utajiramba!Am cumming darlie.... niko hapa Samaki Samaki namalizia burger....
Mwnfnz wangu Unanisaliti???
Jamani si tumekubaliana mwal ukiwa skonga? Lol
tena cku nikikutana na wewe nitakusachi mpaka chawa kwenye kipilipili chako, in both areas!
Fungua Waamuzi.
Mstari nimesahau.
Sasa kama tunataka usawa ndio mtupige sachi?
Halafu mwingine anakwenda Mbali zaidi,anakusachi eti kama umetoka kulala na mwanaume.
Nyiee...!!!
Wabaya sana.
Fungua Waamuzi.
Mstari nimesahau.
Sasa kama tunataka usawa ndio mtupige sachi?
Halafu mwingine anakwenda Mbali zaidi,anakusachi eti kama umetoka kulala na mwanaume.
Nyiee...!!!
Wabaya sana.
Hapo inaonekana ni uongo! Kitabu cha Waamuzi hakizungumzii mambo ya wanawake wala ndoa, ungeniambia kitabu cha Wimbo Uliobora kidogo ningehamasika kuamini.......
Huwa zinaongea ulikuwa hujui eeeeh