kande kavu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 234
- 86
Waungwana naomba mawazo yenu.
Kuna dogo langu hivi ninavyoandika liko Segerea mahabusu kwa tuhuma za Cyber Crimes(Limekwiba kwa mtandao).Kifupi nimetoka nalo mbali ikiwa ni pamoja na kulitafutia elimu lakini kwa kuwa la kuvunda ni la kuvunda halikuambulia kitu shule.Nimesumbuka sana kuliweka katika misingi ya maadili kwa namna zote lakini wapi, na badala yake dogo haaminiki kwani ni mzuri sana wa fix.Kitambo nyuma lilipata soo jingine na mie sikuwa tayari kuliwekea dhamana na hivyo dogo wangu mwingine akaliwekea na kwa kiasi siku ya kesi yake ilikuwa ni lazima kijasho kikutoke kujua yuko wapi.Nimepata elimu ya msingi kwa hela za baba wa dogo hili.Niko njia panda,niliache licheze na kesi yake toka mahabusu, au nilidhamini ilihali nikijua kuwa linaweza kukimbia na mimi nikabaki na msala na mamlaka za serikali? Ikitokea amesepa nini madhara kwa mimi mdhamini wake?
Kuna dogo langu hivi ninavyoandika liko Segerea mahabusu kwa tuhuma za Cyber Crimes(Limekwiba kwa mtandao).Kifupi nimetoka nalo mbali ikiwa ni pamoja na kulitafutia elimu lakini kwa kuwa la kuvunda ni la kuvunda halikuambulia kitu shule.Nimesumbuka sana kuliweka katika misingi ya maadili kwa namna zote lakini wapi, na badala yake dogo haaminiki kwani ni mzuri sana wa fix.Kitambo nyuma lilipata soo jingine na mie sikuwa tayari kuliwekea dhamana na hivyo dogo wangu mwingine akaliwekea na kwa kiasi siku ya kesi yake ilikuwa ni lazima kijasho kikutoke kujua yuko wapi.Nimepata elimu ya msingi kwa hela za baba wa dogo hili.Niko njia panda,niliache licheze na kesi yake toka mahabusu, au nilidhamini ilihali nikijua kuwa linaweza kukimbia na mimi nikabaki na msala na mamlaka za serikali? Ikitokea amesepa nini madhara kwa mimi mdhamini wake?