Katika hali isiyo ya kawaida kwa Wabunge walihoji bungeni kulikoni Bw,David Jairo kurudishwa kazini katika kile kilichoitwa kamati ya upelelezi wa Bunge na ile ya wizara ya nishati na madini (CIG),katika kile walichokiita alifanya uchangishaji wa fedha wizarani ili bajeti ya wizara ya nishati na madini ipitishwe katika Bunge. hali iliyoleta mtafaruku kwa wabunge kwa kile wlichokiita kwamba ile bajeti haijitoshelezi na baadhi ya wabunge walikaataa kuiunga mkono.
hata hivyo Rais JAKAYA KIKWETE alisema kwamba Katibu mkuu huyo ataenda likizo kwa malipo maalumu ili kupisha kamati ya upelelezi ya Bunge ifanye kazi yake.
hata hivyo Rais JAKAYA KIKWETE alisema kwamba Katibu mkuu huyo ataenda likizo kwa malipo maalumu ili kupisha kamati ya upelelezi ya Bunge ifanye kazi yake.