JOACKIM THOMAS
Member
- Jul 21, 2012
- 13
- 0
Ni kweli wanafunzi watakaoshindwa mtihani wa kidato cha pili watarudia darasa au watafukuza? kwa maana kuna mwalimu mkuu wa shule moja hapa jijini mwanza amesema mwanafunzi atakayefeli mtihani wa kidato cha pili atamfukuza kwa maana kidato cha kwanza kuna wanafunzi zaidi ya mia mbili pia kidato cha pili kuna wanafunzi zaidi ya mia moja na hamsini. je, iwapo watafaulu wanafunzi hamsini kuingia kidato cha tatu na hawa mia watarudia kidato cha pili madarasa atayatoa wapi? na darasa la kidato cha pili litakuwa na wanafunzi zaidi ya mia tatu na hamsini.