Kilongwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 423
- 115
Wakuu, baada ya kupokea maoni na ushauri mwingi mno, tumeamua kuirudisha AfroIT.com, hivyo tunaizindua rasmi hapo jumatatu. Utaweza kuipata kwenye linki ileile ya AfroIT - Elimu na mafunzo kwa njia ya mtandao
Je nini ungependa kiwemo kwenye AfroIT toleo jipya??
Pamoja.
Je nini ungependa kiwemo kwenye AfroIT toleo jipya??
Pamoja.