Prof. Lipumba kasema kwenye mdahalo na ITV kuwa kama humpendi yeye kura yake mpe Doctor Slaa.
Sasa... kama mimi simpendi yeye itakuwaje kura yangu ni yake???
Sina uhakika na hili kwa sababu Prof. Lipumba alijikuza na kujifananisha na mlima Kilimanjaro na huku akimkwaza Dr. Slaa pale alipomwita kichuguu.......Is this really an unequivocal endorsment?Prof. Lipumba kasema kwenye mdahalo na ITV kuwa kama humpendi yeye kura yake mpe Doctor Slaa
I hope siyo yule swahiba kichuguu wa JFSina uhakika na hili kwa sababu Prof. Lipumba alijikuza na kujifananisha na mlima Kilimanjaro na huku akimkwaza Dr. Slaa pale alipomwita kichuguu.......Is this really an unequivocal endorsment?
My view is...it is not.