Ni mtazamo tu msijenge chuki
Kuna uwezekano mkubwa ccm ikashinda uchaguzi mkuu bara kwa kutegemea sana kura za nzazibar.Ccm ambayo ina wanachama karibu nusu ya wapiga kura wa zanzibar ambao wanaiunga mkono .TOFAUTI NA CHADEMA ambayo haina mtandao mkubwa zanzibar.wakati Mgombea wa Cuf BARA naye akiwa na uhakika wa kupata kura za wana Cuf wa nzanzibar ambao nao inakadiriwa kama nusu ya wapiga kura wote.Kwa bahati mbaya Chadema haina mtandao mkubwa zanzibar na wala haina mgombea urais zanzibar haitegemei kupata kura nyingi kutoka zanzibar hivyo kuathirika kwa kiasi kikubwa na pengo hilo la kura za nzanzibar.
Kuna uwezekano mkubwa ccm ikashinda uchaguzi mkuu bara kwa kutegemea sana kura za nzazibar.Ccm ambayo ina wanachama karibu nusu ya wapiga kura wa zanzibar ambao wanaiunga mkono .TOFAUTI NA CHADEMA ambayo haina mtandao mkubwa zanzibar.wakati Mgombea wa Cuf BARA naye akiwa na uhakika wa kupata kura za wana Cuf wa nzanzibar ambao nao inakadiriwa kama nusu ya wapiga kura wote.Kwa bahati mbaya Chadema haina mtandao mkubwa zanzibar na wala haina mgombea urais zanzibar haitegemei kupata kura nyingi kutoka zanzibar hivyo kuathirika kwa kiasi kikubwa na pengo hilo la kura za nzanzibar.