Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
kuna tetesi zinasema kuwa chama cha walimu tanzania (cwt) kinaandaa sherehe za siku ya walimu duniani ambayo itafanyika mkoani ruvuma na mgeni rasmi atakuwa j.m. Kikwete. Hii inaweza kubadilisha upepo wa kisiasa na kuongezea angalau kura kwa jk na ccm. Hapa la msingi zaidi ni kuwa dk. Yahya inabidi aongeze mara dufu ulinzi usioonekana maana akianguka katika sherehe hizi uchaguzi utakuwa umeishia hapa. Mwenye habari zaidi, atujuze zaidi. :spider:
mama sitta alikuwa mwenyekiti wa chama cha waalimu tanzania (cwt) kabla ya kuteuliwa kuwa waziri, baada ya yake ndio akaja ndg gratian mukoba ambaye alihongwa na kapuya na akawasaliti waalimu katika mgomo wao. Ndio maana waalimu walitaka kumtoa roho pale diamond jubille. Ni wazi kuwa anatumika tena kuwasaliti waalimu na wafanyakazi. Kama ilivyokuwa diamond jubilee ataumbuka tena siku za hivi karibuni