Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Yaani hadi imekuwa kero......wanavamia tu hata kujitambulisha hawataki, wanavamia tu topiki na kuziharibu sijui wametumwa?Karibu, ni bora ungejitambulisha, ndo mmeamua vibaraka wa mafisadi kuingia na id nyingine ili mumuongezee fisadi mwenzenu kura? Jaribu ila mtaugua vidonda vya tumbo!