Elections 2010 Kura za maoni-jamiiforums

Mkombozi

JF-Expert Member
Feb 19, 2008
806
426
Wana Jamii wote na wapenda maendeleo nina wazo moja.Naomba uongozi wa juu wa Jamii forums utoe publically utafit na kura za maoni kama walivyofanya REDET na Synovate.Nadhani hamna kikwazo chochote kukutana na waandishi wa habari na kuyatangaza ili kutoa picha kama uchaguzi ungefanyika leo nani angekua Rais.Nakaribisha maoni kutoka kwa wengine pia.
 
Wana Jamii wote na wapenda maendeleo nina wazo moja.Naomba uongozi wa juu wa Jamii forums utoe publically utafit na kura za maoni kama walivyofanya REDET na Synovate.Nadhani hamna kikwazo chochote kukutana na waandishi wa habari na kuyatangaza ili kutoa picha kama uchaguzi ungefanyika leo nani angekua Rais.Nakaribisha maoni kutoka kwa wengine pia.
Good idea
 
Tena naona itakuwa more realistic kuliko ya REDET ukizingatia watu ni atleast 8000 na watu ni tofauti tofauti sio makada wa chama tuu kama akina MS.
Naona ni suala la kuamua tuu
 
Tena naona itakuwa more realistic kuliko ya REDET ukizingatia watu ni atleast 8000 na watu ni tofauti tofauti sio makada wa chama tuu kama akina MS.
Naona ni suala la kuamua tuu

Samahani kidogo,hivi zile online opinion polls results zilizotoka katika RaiaMwema tarehe 22 September si zilitoka huku Jamii Forums?Mmeshadili uongo wake kabla administrator hajabadili utaratibu na kusema member peke yake ndiyo wapiga kura?Nacccccccccccheeeeeka.Limewafika.Mlikimbilia kutoa za mtandaoni,mngejua mngeibakiza kama last nail.
 
Watasema JF haiko reguistered kufanya kazi za Utafiti kwa hiyo matokeo yake ni ya uongo.
 
Ni wazo zuri..
Baada ya Raia Mwema kutoa matokeo ya JF, ndiyo sokomoko ilipoanza, kubwa likiwa watu wengi sana kuingia kwa mkupuo (influx) hapa JF ili kuongeza kura za JK. Na kweli zimeongezeka katika muda mfupi mno.
Baadhi yetu, kutokana na uzoefu wa taaluma hizi, tulishauri poll isitishwe, lakini naona bado inaendelea.
Ni muhimu kwa JF kutoa matokeo ya kura hii ya maoni kwa sasa..japokuwa tayari imechelewa
 
Naunga mkono. Ikitolewa rasmi na waendeshaji wake basi huo utakuwa ni msimamo kamili na utaweza kuchangia katika kurekebisha hali ya hewa chafu ilivyosababishwa na tafiti bandia za Synovate na REDET. Inatakiwa itolewe katika mkutano wa waandishi wa habari mkubwa uliondaliwa vizuri.
 
Hii ni nzuri ila unajua tatizo la public researches lazima uombe ruhusa serikalini ndipo utoa matokeo ila kwa hali ya mafisadi kupenda kuchakachua sijui kama watakubali. democrasia halisi tz bado!
 
NADHANI NI WAKATI MUAFALA. maana kama wakati ule ilionesha vile, sasa inaonesha hivi. Hii haijalishi kama chombo kimekuwa registered kufanya utafiti au la. kwa mfano Radio Free Africa wana matikeo ambayo wanaweza kutoa kwa sasa.
Gazeti la Majitra wana matokeo ambayo wangeweza kuyatoa hadharani.
daily news, walikuwa na matokeo ambayo wangeweza kuyatoa hadharani n.k
Wote watoe tuone nani yuko wapi??? Itakuwa nzuri sana. tanzania bila CCM inawezekana.
 
Kura ya maoni haina mechanism ya kuzuia mtu asipige kura zaidi ya mara moja.
 
Hii ni nzuri ila unajua tatizo la public researches lazima uombe ruhusa serikalini ndipo utoa matokeo ila kwa hali ya mafisadi kupenda kuchakachua sijui kama watakubali. democrasia halisi tz bado!

Kumbe na wewe kihiyo?Kuna kura 5,880 zilipigwa na visitors hapa JF kabla hamjabadili system na kusema members pekee ndo wapige kura.Imekula kwenu sasa.Watu wana analysis zao mkobani na jinsi raiamwema wasio na utaalumu wa online polls walivyozuzuka na kuwafisadi wananchi na kile kichwa cha habari tarehe 22/09/2010.Anguko linakuja.Ngoja ndugu wazidi kujiunga hapa.
 
Kumbe na wewe kihiyo?Kuna kura 5,880 zilipigwa na visitors hapa JF kabla hamjabadili system na kusema members pekee ndo wapige kura.Imekula kwenu sasa.Watu wana analysis zao mkobani na jinsi raiamwema wasio na utaalumu wa online polls walivyozuzuka na kuwafisadi wananchi na kile kichwa cha habari tarehe 22/09/2010.Anguko linakuja.Ngoja ndugu wazidi kujiunga hapa.

Zokaa,
karibu sana JF.
Hapa ni vema kuingia kwa gia ndogo..usiingie kwa gia kubwa kama ulivyofanya. Tayari tumekujua pamoja na malengo yako.
Anyway, endelea
 
Samahani kidogo,hivi zile online opinion polls results zilizotoka katika RaiaMwema tarehe 22 September si zilitoka huku Jamii Forums?Mmeshadili uongo wake kabla administrator hajabadili utaratibu na kusema member peke yake ndiyo wapiga kura?Nacccccccccccheeeeeka.Limewafika.Mlikimbilia kutoa za mtandaoni,mngejua mngeibakiza kama last nail.
Karibu sana Kimefika, na nadhani umeshapiga kura yako hapo juu ili kumuongezea JK idadi.
 
Wana Jamii wote na wapenda maendeleo nina wazo moja.Naomba uongozi wa juu wa Jamii forums utoe publically utafit na kura za maoni kama walivyofanya REDET na Synovate.Nadhani hamna kikwazo chochote kukutana na waandishi wa habari na kuyatangaza ili kutoa picha kama uchaguzi ungefanyika leo nani angekua Rais.Nakaribisha maoni kutoka kwa wengine pia.

NI SAWA LAKINI USISHANGAE IKAFUATIWA NA KUFUNGWA KWA JF. HATA HIVYO INABIDI PIA "METHODOLOGY" IAINISHWE. KWA MFANO MTU ANARUHUSIWA KUPIGA KURA MARA NGAPI. INGAWA HII NAYO INAWEZA KUWA DHAIFU KWA VILE WAGOMBEA WOTE WANGEWEZA PIGIWA KURA MARA KADHAA NA MTU HUYOHUYO. PIA NI AINA NA IDADI GANI YA WATUMIA MTANDAO.

LAKINI WACHA WAJIRIDHISHE JF INAKARIBIA UKWELI. NDO MAANA WANAWEWESEKA NA KUANZA KUTUMA SMS ZA KIPUUZI. MIE NINAYO TOKA +3588976578. WANA MAWAZO MGANDO. TZ YA LEO SIO YA 1961!!:hat:
 
Kumbe na wewe kihiyo?Kuna kura 5,880 zilipigwa na visitors hapa JF kabla hamjabadili system na kusema members pekee ndo wapige kura.Imekula kwenu sasa.Watu wana analysis zao mkobani na jinsi raiamwema wasio na utaalumu wa online polls walivyozuzuka na kuwafisadi wananchi na kile kichwa cha habari tarehe 22/09/2010.Anguko linakuja.Ngoja ndugu wazidi kujiunga hapa.

Kwanza karibu sana hapa jamvini ingawa unaonekana mwenyeji. Pili sijui kama umekielewa nilichoandika manake sipati connection. Labda niseme kwa ufupi, ni kwamba ili kufanya kura za maoni na kuzitoa kwenye press publicly lazima upate ruhusa kutoka serikalini, ni tofauti na haya maoni ya hapa jamvini. Chuo kikuu cha Tumaini kilitaka kufanya huu utafiti ili watoe matokeo kwenye gazeti la serikali lakini walikataliwa ndo wakapewa REDET, Synovate ilipewa ruhusa lakini kwa sharti la kutotoa matokeo kwa upande wa uraisi.

Kwa haya machache nadhani waweza kujipa jibu mwenyewe kwamba kati yangu me na wewe KIHIYO ni nani manake umetoa jibu bila kuelewa swali!
 
Samahani kidogo,hivi zile online opinion polls results zilizotoka katika RaiaMwema tarehe 22 September si zilitoka huku Jamii Forums?Mmeshadili uongo wake kabla administrator hajabadili utaratibu na kusema member peke yake ndiyo wapiga kura?Nacccccccccccheeeeeka.Limewafika.Mlikimbilia kutoa za mtandaoni,mngejua mngeibakiza kama last nail.

Karibu, ni bora ungejitambulisha, ndo mmeamua vibaraka wa mafisadi kuingia na id nyingine ili mumuongezee fisadi mwenzenu kura? Jaribu ila mtaugua vidonda vya tumbo!
 
Back
Top Bottom