Acha kutuzingua sasa mbunge mmoja ameshindwa kuongea si umseme....Hata hivyo wakati wakijinadi, mbunge moja ameshindwa kuongea na kuishia kutetemeka huku sauti yake ikikwama . More story to come
malecela yupo humo ndani amkumbuke mwanaye william?
Acha kutudanganya wewe, Malecela sio mbunge atakuwa ndani anafanya nini? Hana kura ya kupiga pengine mkewe Anna Kilango!!
labda huelewi mkuu
mzee malecela alipewa nafasi ya kudumu ya heshima,kwa hiyo yumo
Ila naamini Mwikimbi alikua na maana Anne Kilango Malecela na kwa kweli anampenda sana William na wako karibu kama mwanae wa kumzaa. Najua Anne Kilango atampigania sana William. Tunamuombea kila la kheri, tunawaombea na wapambanaji wa ukweli kina Mrisho Gambo na Shyrose Bhanji.... najua CCM wanahitaji watu wa aina hiyo, kizazi cha mabadiliko si vijana wa kujipendekeza bila hoja ili kuweza kuhimili wimbi la sasa.
.... I can't imagine huyu dogo eti anataka kwenda kuwa mbunge wa EA !! Yaani ni sawa na Lusinde kutaka kuwa PM...
Kwa kalcha ya CCM hizo kura zilishachakachuliwa long time kitambo
Vipi Sioi Sumari yupo kwenye hicho kikao cha Wabunge wa CCM?