Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,932
- 32,339
Wacha woga Ritz hiyo si kweli ila dogo Nasri anapiga jalamba, mtu akipiga jalamba coach ndiye anachagua mchezaji wa kuingia uwanjani!!!! Tarehe 1/3/2012 CDM watachagua mgombea wa ARUMERU!!!! Ila kwenye mchakato Joshua Nasari yumo pia, naona unatetemeka au vipi????
Mkuu, ebu wasome Chadema mwenzako Feedback, Molemo, wanakuambia wagombea wa CCM wanapambana lakini watakuwa nyuma ya Nassari.