Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
hakuna bifu na vinega tena...hahahahahWatu wanasikiliza clouds sana humu ndani....siamini!
hakuna bifu na vinega tena...hahahahahWatu wanasikiliza clouds sana humu ndani....siamini!
KATIBA YA CCM
20. (1) Mwanachama anayeomba nafasi ya
uongozi wa aina yoyote katika CCM
hatakubaliwa kuwa amechaguliwa mpaka awe
amepata zaidi ya nusu ya kura halali zilizopigwa.
[/QUOTE
wewe nape tumia ID yako
Hayo ni marudio, technic hii ilitumiwa na Nyerere kipindi kile cha kumuweka Mh Ben kuwa mgombea toka CCM!!!!!!!!! Maji hayasahau mkondo!!!!!Katiba ya CCM inatamka chochote kuhusu kufikisha 50%? Au ni kwa ajili tu ya Jimbo la Arumeru?
Hata Osama alikuwa anafuatiliwa na dunia nzima.
Imeanza lini hii kutumikaKATIBA YA CCM
20. (1) Mwanachama anayeomba nafasi ya
uongozi wa aina yoyote katika CCM
hatakubaliwa kuwa amechaguliwa mpaka awe
amepata zaidi ya nusu ya kura halali zilizopigwa.
CCM walikosea sana kumuua Kolimba kwani aliwaambia ukweli mtupu.
Hayo ni marudio, technic hii ilitumiwa na Nyerere kipindi kile cha kumuweka Mh Ben kuwa mgombea toka CCM!!!!!!!!! Maji hayasahau mkondo!!!!!Katiba ya CCM inatamka chochote kuhusu kufikisha 50%? Au ni kwa ajili tu ya Jimbo la Arumeru?
Kumbe hata Tanzania, Kenya... ni Marekani!?Siyo na dunia nzima ni na Marekani!!
​sarakikya(TISS) at work
Red:- una maana gani ;chafu /safi sanaKura za maoni zinarudiwa baina ya Sioi Sumri na W. Srakikya kwa kuwa hawakufukisha asilimia 50.
Demokrasia CCM ni safu sana.
Source: Nape kupitia Clouds FM
Na mie nashangaa hivi kuna great thinker anayeweka ****** chini na kusikiliza hii redio station? Ni majungu,umbea,upashukuna nk...
...the funny thing is wanagombea nafasi ya pili nyuma ya Nassari, Chadema inatisha.