Elections 2010 Kura za JK katika JF zaongezeka ghafla!

Status
Not open for further replies.

QUALITY

JF-Expert Member
Sep 27, 2010
853
115
Uvamizi unaonekana kuendelea katika JF baada ya kura kuongezeka kutoka 1,556 hapo jana saa 11 jioni (1700) hadi kufikia 1,777 leo saa nane dakika 32 (14:32 hrs). This is a tremendous efforts has baada ya kuzomewa huko katika kampeni zake.
 
Kwa hiyo ulitakeje?Unataka kutueleza kila anaye ingia JF ni mpenzi Slaa?Au asilimia kubwa ya wanachama wa JF ni Chadema?
 
Hapo ndipo watanzania wenzangu mnaponichosha, sasa kama unaona wenzio wanatumia strategy fulani kufanikiwa si wewe unajaribu the same ili muwe level au?? obviously itakuwa wao wame-mobilize wafuasi wao wajisajili na kuipigia kura CCM, kwa maana si kwamba kila mwananchi ni member wa JF - wapo wengine wengi ambao si members, sasa ukifanikiwa kuweza kuwashawishi watu wajiunge na kupiga kura - dont u think kama hiyo inaweza kuchangia kuongezeka kwa kura??

Cha muhimu ni CHADEMA pia kujitahidi kuwahamasisha watu wajisajili na kuwapigia kura - then automatically mtaona jinsi idadi inavyozidi kuongezeka au siyo?
 
Hapo ndipo watanzania wenzangu mnaponichosha, sasa kama unaona wenzio wanatumia strategy fulani kufanikiwa si wewe unajaribu the same ili muwe level au?? obviously itakuwa wao wame-mobilize wafuasi wao wajisajili na kuipigia kura CCM, kwa maana si kwamba kila mwananchi ni member wa JF - wapo wengine wengi ambao si members, sasa ukifanikiwa kuweza kuwashawishi watu wajiunge na kupiga kura - dont u think kama hiyo inaweza kuchangia kuongezeka kwa kura??

Cha muhimu ni CHADEMA pia kujitahidi kuwahamasisha watu wajisajili na kuwapigia kura - then automatically mtaona jinsi idadi inavyozidi kuongezeka au siyo?

Kura za Dr slaa Sio za kuchakachua aka utumizi Wa strategy chafu.....we don't have time for politics za maji Tama.
ntaxhajachua haapa je kwenye chumba cha Jura mtachakachua pia? Hapo ndipo mtakapotambua Kuwa tarime IPO nchi nzima
 
Hawataweza kitu kwa sababu polls zipo nyingi na kuzichezea hizo zote siyo rahisi hata kidogo.

Hata SYNOVATE wako njiani kumjulisha JK kuwa the game is over...................
 
hawataweza kitu kwa sababu polls zipo nyingi na kuzichezea hizo zote siyo rahisi hata kidogo.

Hata synovate wako njiani kumjulisha jk kuwa the game is over...................


wakati unaambiwa njoo ccm unakimbilia upinzani sasa hiyo ndio ccm yenyewe na subiri oct 31 utaijua vizuri...
Karibu sana
mtoto kwa baba akui hata siku moja
 
Uvamizi unaonekana kuendelea katika JF baada ya kura kuongezeka kutoka 1,556 hapo jana saa 11 jioni (1700) hadi kufikia 1,777 leo saa nane dakika 32 (14:32 hrs). This is a tremendous efforts has baada ya kuzomewa huko katika kampeni zake.

mbona zikiongezeka za slaa huongei!
 
Haongelei za Slaa kama vile ambavyo huongelei za Kikwete.

haha sijawahi kuongelea za kikwete wala za slaa!.. nafkiri bado anahitaji elimu ya domokrasia.. kwamba pale juu ni mtu anauhuru wa kuchaguwa yoyote na haina haja ya ku complain kwa nini za fulani zinaongezeka
 
mbona zikiongezeka za slaa huongei!

za slaa haziongezeki kwa mkupuo kama wa kura za kikwete.

Kikwete alipata kura mia tano ndani ya siku moja, kisha jana akapata kura 250 ndani ya masaa machache tu. Online polls haziendi hivi.
 
za slaa haziongezeki kwa mkupuo kama wa kura za kikwete.

Kikwete alipata kura mia tano ndani ya siku moja, kisha jana akapata kura 250 ndani ya masaa machache tu. Online polls haziendi hivi.

Wasted :llama:
 
kama wengi tunavyojua, JF ni jamii si ya watu wa aina moja hata kidogo. kwa hiyo ndiyo maana kuna demokrasia ya kuchagua na siyo kufuata upepo.......
 
Nawashukuru wote kwa demokrasia ya mawazo. kwa wafuatiliaji, kura hizi zinaongezeka taratibu. Uchakachuaji hata kama upo, lazima tutafika mahaliambapo watanzania watataka maendeleo siyo bla bla. Nadhani hata wapenzi wa Dr. Slaa, hawana haja ya kutafuta strategy ya kuongeza kura kwa kuchakachua bali tuendelee kuhamasisha wale wote wachukia ufisadi wajitokeze 31.10.2010 tuue nyani bila kumwangalia usoni. Tunachotaka ni maendeleo ya watanzania walio wengi. Mungu awabariki walewote wanaochukia ufisadi na wizi wa mali za umma. :smow:
 
haha sijawahi kuongelea za kikwete wala za slaa!.. nafkiri bado anahitaji elimu ya domokrasia.. kwamba pale juu ni mtu anauhuru wa kuchaguwa yoyote na haina haja ya ku complain kwa nini za fulani zinaongezeka

Asante sana kwa mtazamo huu, tuko pamoja sana kwenye hili.

Ukweli ni kwamba ushindi kwa upinzani is just an illusion.
 
Pole pole na hayo makombora yenu mnayoyaelekezea pande enyi Mwafrika, Shalom etc, lol!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom