Kura yangu nikipa chama chochote kisichokuwa na harufu ya udini wala ubaguzi. Chama chenye uweledi kwenye medani ya siasa na sio kujifunza kuongoza nchi. Chama chenye misingi bora. Hata kama chama kinatuhumiwa nina imani kisichotuhumiwa matumbo yao ni matupu na wao wakiingia hawatakuwa na budi ya kuangalia tu.
Tutumie busara tuchague viongozi wenye uelewa wa uongozi tusichague bora kiongozi.