MKALIMOTTO
Senior Member
- Apr 7, 2012
- 136
- 9
Watz bwana blah blah blah blahhhh! Umuondoe J.K umweke nani? Nyie tatizo mnadanganywa sn na cdm. Slaa eti haamini hadi sasa kuwa si rais, anakagua miradi na masoko nae kama nani? Hata 2015 mtaishia kunawa tu ngoma bado ccm till down.