Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Jamani,
Tuliambiana humu JF kwamba document ya kujumlisha kura zote jimboni automatically imeshatengenezwa. Hivyo hakuna ujanja wa kupindisha mahesabu.
Tulikubaliana tuwasambazie wote watakajumlisha lakini inaelekea kuwa kuna baadhi waliisifia lakini kuna baadhi hawajui kama ipo.
Hebu tuipitie tena kwenye thread hii hapa chini:
https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania-2010/81684-matokeo-ya-uchaguzi-yawekwe-hapa.html
Tuliambiana humu JF kwamba document ya kujumlisha kura zote jimboni automatically imeshatengenezwa. Hivyo hakuna ujanja wa kupindisha mahesabu.
Tulikubaliana tuwasambazie wote watakajumlisha lakini inaelekea kuwa kuna baadhi waliisifia lakini kuna baadhi hawajui kama ipo.
Hebu tuipitie tena kwenye thread hii hapa chini:
https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania-2010/81684-matokeo-ya-uchaguzi-yawekwe-hapa.html