Kura 2011 nchini Russia; Putin arudi mamlakani!

bora kuongozwa na mfalme kuliko kuwa na viongozi wanaopokezana kijiti cha uongozi kwa mtindo huu wa putin na medved
 
walikuwa wakisikia maandamano kwa watu tu-sasa yamefika kwao,ngoja tuone mwisho wake itakuwaje
 
UPDATES LEO TR 11/12/2011 MAMBO YA MIDDLE EAST YANATOKEA TENA HUKO URUSI:
waandamanaji wameipa serikali ya urusi siku chache mpaka tarehe 24/12 iwe imefanya mambo yafuatayo
1.Putin a resign
2.uchaguzi ufanyike upya
3.wafungwa wa kisiasa waachiwe wote bila masharti
4.wezi wa kura waadhibiwe...
5.Vyama vyote vya kisiasa vifutwe vifanyiwe registration upya.
wasipotekeleza haaya ndani ya wiki mbili wanaitisha maandamano mengine ambayo yatahudhuriwa na watu zaidi ya 150,000. hiyo hapo chini ni nembo yao inamaanisha revolution.. View attachment 43143 more news to come ..source ni JF
 
inaonekana propaganda za marekanii zimefanikiwa sana hapo urusi eeehh.

hapa kama hujui propaganda za marekani hazihusiki kwa kiasi kikubwa ...putin ndiye anaisingizia marekani kwani hana pa kutokea na chama kinachopedwa urusi ni chama chao cha makomunism...
 
sio propaganda za wamarekani,..... Hao ni wakomunisti wanaitaka nchi yao.

umesema kweli mkuu ..wakomunist wanapendwa sana na ndio wanataka kuirudisgha nchi yao...putin alisingizia marekani ili warusi wengi kwa sababu hawafuatilii politcs yao wawe upande wake...ok let see
 
Acha ujinga wako wewe, unaijua Russia? wanauwa wapinzani kama nini, na multination nyingi zimekimbia russia kwa sababu ya rushwa, kwa ufupi Russia imeoza, ni kama congo.

bora kongo sema sasa hivi watu wengi wameamka na mass media like internet imesaidia sana ...wananchi hawataki putin arudi madarakani
 
Its all about Global awakening ... All leaders around the world should take enough time to understand and make sure, this lesson get clear in their gray matter ... !! AND ... stop all Unnecessary petty resistance to this movement ... SIMPLY It will not work for them!!
 
poleni watanzania wenzangu mlioko huko naomba mkusanye nauli mje nyumbani tujenge nchi yetu..
 
Kwamba Putin atakubali kukaa pembeni, sidhani..
Kwamba hao ma activists watakuwa na sapoti ya kutosha kusisitiza mabadiliko, sidhani..
Kwa kifupi asilimia kubwa ya warusi hawako interested na what's going on kwenye siasa bali wanachotaka ni maisha yao yawe poa kama Yuropa, kitu ambacho Putin amesaidia kwa kiasi kikubwa..

Anyway, time will tell...
 
UPDATES LEO TR 11/12/2011 MAMBO YA MIDDLE EAST YANATOKEA TENA HUKO URUSI: waandamanaji wameipa serikali ya urusi siku chache mpaka tarehe 24/12 iwe imefanya mambo yafuatayo 1.Putin a resign 2.uchaguzi ufanyike upya 3.wafungwa wa kisiasa waachiwe wote bila masharti 4.wezi wa kura waadhibiwe... 5.Vyama vyote vya kisiasa vifutwe vifanyiwe registration upya wasipotekeleza haaya ndani ya wiki mbili wanaitisha maandamano mengine ambayo yatahudhuriwa na watu zaidi ya 150,000. hiyo hapo chini ni nembo yao inamaanisha revolution.. View attachment 43143 more news to come ..source ni JF

Kweli naona Marekani anafanya kazi..lakini hapo patakuwa patamu sana,sidhani kama Putin atakubali kunyanyua mikono...
 
Kweli naona Marekani anafanya kazi..lakini hapo patakuwa patamu sana,sidhani kama Putin atakubali kunyanyua mikono...

swallow this: marekani hahusiki hapa..makomunist ndio wanataka nchi yao..na chama chao kilishika namba mbili kwenye uchaguzi wa wabunge uliochakachuliwa wa tarehe 4 mwezi wa 12
 
Kweli naona Marekani anafanya kazi..lakini hapo patakuwa patamu sana,sidhani kama Putin atakubali kunyanyua mikono...
WARUSI hawataki PUTIN arudi madarakani, wanataka nchi yao---majibu ni njama za WEST, nauliza kwanini viongozi wanaofanya madudu wananchi wakiriact wanasema ni njama za USA au WEST. Mbona Hugo Chavez alivyochachamaa hawakusema ni njama za USA/WEST. tatizo nini?aomba kujuzwa
 
swallow this: marekani hahusiki hapa..makomunist ndio wanataka nchi yao..na chama chao kilishika namba mbili kwenye uchaguzi wa wabunge uliochakachuliwa wa tarehe 4 mwezi wa 12

Ivuga kama marekani hahusiki iweje 'Revolution' ishike kasi baada ya Mama Clinton kusema uchaguzi haukuwa fair?
Je, marekani walikuwa na waangalizi wa uchaguzi huko?
Mbona tamko la marekani lilikuja haraka kuliko lile Ulaya?

America and western Europe fear for Putin, thats the fact!
 
watu wa magharibi huwa wanasema ujamaa au ucommunist huwa unaficha Udictator.Ukitaka kulijua hilo njoo TZ utaona jinsi ccm isivyokua tayari kuachia madaraka.Mpaka nguvu ya Umma itakapoamua ,na haitakua rahisi kihivyo ,wakiona wamezidiwa kabisa wataona ni heri kabisa iundwe hata serikali ya mseto.
 
Back
Top Bottom