Hivi bado mnawaste time kwa huyo msanii! ha ha haaaaaaaa
Haya mama, mpe tuisheni ya kuachika! Inaelekea ile tuisheni ya nyumba ndogo haikumkaa kumkichwa. Kanogewa na nyumba ndogo sasa anataka kuachika! What a WHAT? Mi namshauri amwombe Mume wake amle tiGO. Kama mume wake si muumini, ataachika kirahisi. Kama ni muumini aje tena hapa atuombe ushauri mwingine, kwa sababu atakuwa pale to STAY!
Mchumba bana,Kwa nini usimshauri akate shauri ampokee Bwana Yesu,si umeona ameuliza msaada?
Yesu anawapenda wale walioshindikana na waliokata tamaa kama mrs Mtaba.Hahaha! Kuna wengine ni kupoteza muda tu. Hata YESU mwenyewe akiwaita hawataenda.
Yesu anawapenda wale walioshindikana na waliokata tamaa kama mrs Mtaba.
Si ndio maana aliambiwa rafiki wa walevi na makahaba? unamkumbuka Maria magdalena? alikuwa changudoa lakini Yesu alikuwa rafiki yake.Hivyo kwa Yesu saizi yake ,hana haja na mitume na manabii bali anawataka watu kama hawa wanaokesha ZIRO pub.Mchumba upo shalow kumbe? hukusoma divinity?
Hahaha! Wakati huo huo tukiwasalimu BWANA ASIFIWE hamuitiki kwa kuwa sisi ni watu wa MATAIFA? Kuna majitu mengine hata YESU mwenyewe alinawa mikono. Hukumbuki kuna limoja lilisulubiwa pamoja naye msalabani lakini bado likakomaa? Kama watu wa namna hiyo anawapenda mbona haku-deal na hilo aende nalo mbinguni? Divinity ni Vocabulary kwenye kichwa changu, japokuwa nililamba ka A kazuri kwenye National Exams.
Hahaha! Wakati huo huo tukiwasalimu BWANA ASIFIWE hamuitiki kwa kuwa sisi ni watu wa MATAIFA? Kuna majitu mengine hata YESU mwenyewe alinawa mikono. Hukumbuki kuna limoja lilisulubiwa pamoja naye msalabani lakini bado likakomaa? Kama watu wa namna hiyo anawapenda mbona haku-deal na hilo aende nalo mbinguni? Divinity ni Vocabulary kwenye kichwa changu, japokuwa nililamba ka A kazuri kwenye National Exams.
Ama nilikuwa sijui kumbe wanawake nao husikia hamu ya kumegwa mi nilifikiri ni wanaume tu wanaokuwa na ugwadu wa kumega itabidi nikimmega dame naye anilipe bana,kwani kumbe utamu ausikie na hela nimpe sasa niwakati wa wanaume kuanza kulipwa wakimega dame..........Kuna vitu vinavyomkosesha mtu kufanya mapenzi hasa kwa sisi wanawake, utakuta huyo rafiki yupo busy na kazi au masomo. Vile vile utakuta ni hofu ya Mungu kufanya mapenzi nje ya ndoa.
......Mimi hiyo hali ilishawahi kunitokea, nilikuwa busy sana na kitabu na maisha kwa ujumla, utakuta mwili unachoka hata hamu huwezi kuhisi. Hofu ya Mungu vile vile kwa penzi la kuibia, raha ya penzi mtu uwe huru mawazo yako yote uweke pale.
Inabidi umuulize vizuri rafiki yako, labda yupo busy pia au hofu tu ya dhambi ya uasherati.Umri huo ndio wenyewe kwa hamu,hivyo huyo mchumba wake amuoe tu akiingia kwenye ndoa atakuwa na hamu tu.
There are no standard treatments for a reduced interest in sex. For women with little sexual desire it is sometimes enough to have a few conversations in which they can express their feelings and ask questions about the extent to which their situation is abnormal...........Kuna vitu vinavyomkosesha mtu kufanya mapenzi hasa kwa sisi wanawake, utakuta huyo rafiki yupo busy na kazi au masomo. Vile vile utakuta ni hofu ya Mungu kufanya mapenzi nje ya ndoa.
......Mimi hiyo hali ilishawahi kunitokea, nilikuwa busy sana na kitabu na maisha kwa ujumla, utakuta mwili unachoka hata hamu huwezi kuhisi. Hofu ya Mungu vile vile kwa penzi la kuibia, raha ya penzi mtu uwe huru mawazo yako yote uweke pale.
Inabidi umuulize vizuri rafiki yako, labda yupo busy pia au hofu tu ya dhambi ya uasherati.Umri huo ndio wenyewe kwa hamu,hivyo huyo mchumba wake amuoe tu akiingia kwenye ndoa atakuwa na hamu tu.
bamushka weka wazi,unasikia kinyaa,maana kuna mavitu ya ajabu huwa yanatoka mara baada ya kujifungua,usimfanye hivyo bwana nafikiri hiki ndio kipindi unahitaji kumuonyesha love zaidi kabla hajazaaBaada ya wife kujifungua miezi kadhaa iliyopita, nimejikuta sina hamu nae kabisa. Nifanye nini niwe kama zamani?