- Thread starter
- #61
Pole sana dadangu, wewe kama unataka kuachwa nenda kalete kidume ndani ya nyumba.
Then ulinganishe nani zaidi. Kila la heri.
Asante ila hayo yatakuwa mashindano. Ninachotaka yeye ajisikie raha kuwa kaniacha.
Pole sana dadangu, wewe kama unataka kuachwa nenda kalete kidume ndani ya nyumba.
Then ulinganishe nani zaidi. Kila la heri.
Kwa hiyo unamaanisha kuwa Mr.Mtaba ni kikojoziiiii......?
Asante ila hayo yatakuwa mashindano. Ninachotaka yeye ajisikie raha kuwa kaniacha.
na wewe utajisikia raha ukiachwa au ukimwacha?
Ntakapoachwa.
In intelligence business kuna theory moja "give wrong information inorder to gather correct ones" ndicho kilichofanyika Mrs Mtaba; kwani sasa utapata ushauri mzuri kutoka kwa watu wenye uzoefu kuhusu matatizo kama hayo kwa kuwakuta wenyewe au kuyaona kwa macho.Hivi ngoja nikuulize, unaweza kumwambia mkeo aende nje akatafute wanaume kwa sababu amedai unyumba ambao unampaga kama dawa ya surua na pale wewe utakapo!
Ok mke ulipomwambia hivyo akajinyamazia kimya bila ungomvi wowote, akawa anasubiria mpaka hamu yako itakapokupanda uende kuomba mambo. Then ukifika unaanza kumshikashika kama vile hutaki, na yeye anakuambia hana hamu. Kwa uselfish wako unajiinukia nakuondoka zako. Hivi kwa maneno hayo au matendo yaho utaendelea kumpenda huyu mtu wala kumtamani.
Tuwe wakweli jamaa tuache unafiki, maana mpaka kufikia hapa ujue maji yamefika shingoni.
Thank you all for your contribution. Hii ni hadithi ya kutunga nilitaka kupata michango na maoni tuu incase if it happens to rise an issue like this or kwa walio nayo how to go about! Kweli JF kuna vichwa achana na hii blog. Kwa kweli ikifungwa wengine naona sijui itakuwaje wajameni?In intelligence business kuna theory moja "give wrong information inorder to gather correct ones" ndicho kilichofanyika Mrs Mtaba; kwani sasa utapata ushauri mzuri kutoka kwa watu wenye uzoefu kuhusu matatizo kama hayo kwa kuwakuta wenyew au kuyaona kwa macho.
kwa mtaji huo yeye hakuachi ng'oo hata ufanye nini kwani huwezi kumlazimisha ng'ombe kunywa maji. La maana ni wewe kuachana na mawazo potofu kuwa mwanamke hatoi talaka bali mwanamme na kupingania haki yako, kwani ni bora kufa umesimama kuliko kuishi umepiga magoti. Hey beauty, cute, and lovely lady get up and fight; ndio pigana vita vyema juu ya uhai wako mwenyewe. Lasivyo sitashangaa siku moja ktk jukwaa na kututangazia umeukwaa umeme wa kidatu.
Nakutakia mafanikio mema ktk vita iwapo utaamua kuvipigana
Ilikuwa ni chemsha bongo tuu
Ilikuwa ni chemsha bongo tuu
Inawezekana. Maana hata jina unatumia la mzee (Mtaba!?) halafu unatuambia huna hamu nae!