Cha chuo kinapatikana unanatakiwa utagaze kwenye gazeti na baadae uambatanishe hio nakala ya gazeti na uwaandikie barua chuo husika kwa taarifa ni vizuri akaambatanisha na copy ya vyeti husika kama anavyo na vyeti vya form 4 na 6 waandikie necta atajibiwa kwa barua na wanatoa msaada kila wakati vitavyohitajika kimaandishi kwa yule atakae hitaji kwa ada ya sh 10,000 lkn wao hawatoi cheti chengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.