kupotea njia kweli ndio kujua njia

Fatma Bawazir

JF-Expert Member
Dec 24, 2010
492
180
kibibi kilikosea nyumba ya msiba kikaingia geto, washkaji wakakifanyia mchezo mbaya weee, kilipotoka kikauliza arobaini lini nije tena? wajukuuzangu?!!
 
Hahahaaaa! Mi nilidhani kitamaind na kutoa laana kibao kumbe kinatamani hata arobaini iwe kesho ili kiende tena kikachukue mambo yake lol..
 
Huyo bibi simpi shikamoo yangu,'kidani cha dhahabu hakifai kwa pua ya nguruwe'!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom