Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Humu Tanznaia tumezoea kuwaona masikini wakinyanyaswa kwa mambo ambayo hayaeleweki huku Mafisadi wakubwa ndio wanalindwa na dola. Namuomba Adam Malima awaangalie hawa vijana na huyu mwanamke WALIVYOPIGWA, ajiulize moyoni kama kweli walimwibia.
Uislamu unatufundisha haki, ukristo nao vilevile...........Zaidi ya yote, huu ni mwezi mtukufu...... Ndugu yangu Adam, hawa raia wema ambao hawakuusika na wizi wa mali zako bado wanasumbuliwa sana na polisi, tunakuomba uwaonee huruma. waambie polisi wawaachie huru. hawana hatia kamwe.Naomba uangalie hizi picha kwa umakini, ukiona ukweli ndani yake naomba ukwel ukuguse moyoni mwako kwani sote dunia ni mapito yetu ila hakuna sababu ya kuwapa watu wasio na hatia mateso.
Wewe na serikali yako mmekuwa watawala waonevu. Mungu Akupe Nguvu. Wasamee kama kweli walikuibia, kama hawakukuibia basi uwaangalie usoni na maumivu wanayoyapata na wanayoendelea kuyapata kisha uwaombe radhi Amina................!!!!
Huu ni mwezi wa TOBA !
Uislamu unatufundisha haki, ukristo nao vilevile...........Zaidi ya yote, huu ni mwezi mtukufu...... Ndugu yangu Adam, hawa raia wema ambao hawakuusika na wizi wa mali zako bado wanasumbuliwa sana na polisi, tunakuomba uwaonee huruma. waambie polisi wawaachie huru. hawana hatia kamwe.Naomba uangalie hizi picha kwa umakini, ukiona ukweli ndani yake naomba ukwel ukuguse moyoni mwako kwani sote dunia ni mapito yetu ila hakuna sababu ya kuwapa watu wasio na hatia mateso.
Wewe na serikali yako mmekuwa watawala waonevu. Mungu Akupe Nguvu. Wasamee kama kweli walikuibia, kama hawakukuibia basi uwaangalie usoni na maumivu wanayoyapata na wanayoendelea kuyapata kisha uwaombe radhi Amina................!!!!
Huu ni mwezi wa TOBA !