kuporomoka maadili Vs maisha ya ndoa.

Mbu..nataka kubadili msimamo wangu wa awali kuwa wazazi wasilaumiwe.
Kama tunazungumzia ndoa..kwenye ndoa si kuna kiongozi? Tena kiongozi huyu hapigiwi kura wala nini.Uongozi wake ukiwa bora basi tunatarajia familia/ndoa yake itakuwa na mafanikio na hata matatizo yatakuwa yale ya kawaida kabisa ya kibinadamu.

Tatizo ni kuwa wengi wa hawa viongozi wamekithiri kwa uongozi mbovu, ufisadi, ubabe, kukosa mwelekeo, kutokuwajibika, kutokuwa na uwazi, kutokuwa na ukweli na uadilifu.Matokeo yake ni kukosa mwelekeo familia nzima.MAADILI YAKIKOSEKANA KATIKA FAMILIA ambapo watoto wanaona wazazi wanavyoishi kwa ubabe, visa,ukatili,utovu wa adabu na nidhamu, vitendo vya ukengeufu wa maadili usitarajie nao wakikuwa watakuwa wanandoa bora.

...pheeeeeeewwww, WoS kwa mtizamo huo unamlaumu Baba mwenye nyumba ama?...

Nilidhani jukumu la malezi kwa watoto ni la baba na mama. Halafu una habari watoto (naturally) wanajifunza/kufuata yale wanayoelekezwa na mama zao kuliko baba? Hii haswa inatokea tangu mtoto kuzaliwa mpaka umri wa baleghe/kuvunja ungo.

Ndio kusema Mama ana influence kubwa kwenye 'foundation' ya maadili ya mtoto kuliko baba. By the time huyo kijana/binti amefikia kwenye 'teens', jamii inayomzunguka, i.e walimu, wanafunzi wenzake, majirani, ndugu jamaa na marafiki ndio wanaochangia tabia nyingine mpya.

Hapo ndio mara nyingi utaona baba mtu anaingilia kati kusimamia nidhamu, kwani kina mama wengi wakati huo utawasikia..."..muonye mwanao, mie ananishinda!"...

Kibaya zaidi unakuta mwanamke na mwanaume wanakutana ukubwani kila mtu na background tofauti kwa maana ya kwamba mwingine kalelewa kwa maadili na upendo wa hali ya juu wa wazazi na hakujua kabisa tabia chafu za kukosa maadili.Anakutana na mwenzake aliyelelewa kwenye malezi mabovu ambapo wazazi hawana maadili.Sasa niambie hiyo ndoa itakuwa ya namna gani? Most likely yule aliyetoka kwenye background mbovu atakuja na vitabia vyake vibaya kwenye ndoa na kumkwaza yule aliyekuja na maadili mema- uchafuzi tu!

...Bado nataka kuamini mama mwenye maadili mema huko alikotokea hata kama mumewe atakuwa 'mkware' vipi, heshima na adabu vitaendelea kuwepo nyumbani kwao. Kishindo ni pale huyo mama ni 'manjilinji' tangu asili yake (alishindikana kwao), na mume hakieleweki,...!
 
Huyu alikuwa haulizi, alikuwa anaomba maji ya kunywa wakati yupo kwenye mtumbwi katika Delta ya mto Amazon hapo Cabo Do Norte.

mwache mdogo wangu mwanasayansi anieleweshe!tulikimbia umande.tuna kingereza cha twisheni

...:D haya, kumbe ni 'waarabu wa Pemba, mnajuana kwa vilemba' nyie! ha ha haa...

kumbe laws za fizikia zina apply mpaka kwenye mapenzi, mnh!
 
the entropy of an isolated system which is not in equilibrium will tend to increase over time, approaching a maximum value at equilibrium.


what are you tryng to explain here bana?
.........that african moral ethics are not in equilibrium?

That this is a universal phenomena, bound intrinsically with the arrow of time and entropy, especially when not enough measures are or can be employed to bring the situation to equilibrium.

The same degradation are happenning in the west, or even in the east.As much as I am a secular humanist/ atheist I do recognize the cultural wisdom of the ancients and their good books of the old -from the bible, talmud to the Dahammapada- which predicted this because of their innate understanding of entropy.

Our economies, histories, cultures, human relations you name it, are all subject to the unrelenting force of entropy. And because we can barely feed ourselves, who has time to do research on these issues and address them? None, the result is a rot in our moral standards that is clearly visible even here.

Look at how technology is changing so fast, look at how the so called education is changing our perceptions, look at how affluence, which was supposed to make things better, is creating more misery and dissapointments, look at how the low level of entropy we had in the past- with a lower level of consumption - led to a relatively more satisfying life than our collective higher level of consumption. If you are looking at this from a solely Tanzanian/ African perspective you are mostly missing the bigger global picture.

It is a global trend, Morgan Freeman anataka kumuoa mtoto wake, member wa JF analeta maada bila aibu kwamba kamkwangua shemeji yake na sasa mama mkwe -mama mkwe for gods sake- huyu mama mkwe ambaye kwa mila zetu ni mtu ambaye hata kukaa naye karibu karibu sana ni noma, anataka kukwanguliwa.Something in me just dismissed the story as fraudulent, but lisemwalo lipo, na hali ya sasa ilivyo inaweza hata kuwa kweli.

So it is not a local phenomena, it is global.
 
That this is a universal phenomena, bound intrinsically with the arrow of time and entropy, especially when not enough measures are or can be employed to bring the situation to equilibrium.

The same degradation are happenning in the west, or even in the east.As much as I am a secular humanist/ atheist I do recognize the cultural wisdom of the ancients and their good books of the old -from the bible, talmud to the Dahammapada- which predicted this because of their innate understanding of entropy.

Our economies, histories, cultures, human relations you name it, are all subject to the unrelenting force of entropy. And because we can barely feed ourselves, who has time to do research on these issues and address them? None, the result is a rot in our moral standards that is clearly visible even here.

Look at how technology is changing so fast, look at how the so called education is changing our perceptions, look at how affluence, which was supposed to make things better, is creating more misery and dissapointments, look at how the low level of entropy we had in the past- with a lower level of consumption - led to a relatively more satisfying life than our collective higher level of consumption. If you are looking at this from a solely Tanzanian/ African perspective you are mostly missing the bigger global picture.

It is a global trend, Morgan Freeman anataka kumuoa mtoto wake,

member wa JF analeta maada bila aibu kwamba kamkwangua shemeji yake na sasa mama mkwe -mama mkwe for gods sake- huyu mama mkwe ambaye kwa mila zetu ni mtu ambaye hata kukaa naye karibu karibu sana ni noma, anataka kukwanguliwa.


Something in me just dismissed the story as fraudulent, but lisemwalo lipo, na hali ya sasa ilivyo inaweza hata kuwa kweli.

So it is not a local phenomena, it is global.
good boy!i like such full explanations!
have a nice weekend
 
That this is a universal phenomena, bound intrinsically with the arrow of time and entropy, especially when not enough measures are or can be employed to bring the situation to equilibrium.

The same degradation are happenning in the west, or even in the east.As much as I am a secular humanist/ atheist I do recognize the cultural wisdom of the ancients and their good books of the old -from the bible, talmud to the Dahammapada- which predicted this because of their innate understanding of entropy.

Our economies, histories, cultures, human relations you name it, are all subject to the unrelenting force of entropy. And because we can barely feed ourselves, who has time to do research on these issues and address them? None, the result is a rot in our moral standards that is clearly visible even here.

Look at how technology is changing so fast, look at how the so called education is changing our perceptions, look at how affluence, which was supposed to make things better, is creating more misery and dissapointments, look at how the low level of entropy we had in the past- with a lower level of consumption - led to a relatively more satisfying life than our collective higher level of consumption. If you are looking at this from a solely Tanzanian/ African perspective you are mostly missing the bigger global picture.

It is a global trend, Morgan Freeman anataka kumuoa mtoto wake, member wa JF analeta maada bila aibu kwamba kamkwangua shemeji yake na sasa mama mkwe -mama mkwe for gods sake- huyu mama mkwe ambaye kwa mila zetu ni mtu ambaye hata kukaa naye karibu karibu sana ni noma, anataka kukwanguliwa.Something in me just dismissed the story as fraudulent, but lisemwalo lipo, na hali ya sasa ilivyo inaweza hata kuwa kweli.

So it is not a local phenomena, it is global.

...bila kuingiza sana udini, naomba kugusia; ...kwa sie tulokuzwa kwenye imani ya dini, tunakumbushwa mara kwa mara kuwa haya yanayotokea sasa yalishaandikwa (kutabiriwa/kubashiriwa) kwamba ni alama za nyakati kuelekea kwenye hukumu iumizayo, wenye macho na masikio wayaone na wayasikie. 'Wanasayansi' wanayathibitisha.

Tufanyeje ili kujinusuru ndoa zetu na vizazi vyetu?
 
...bila kuingiza sana udini, naomba kugusia; ...kwa sie tulokuzwa kwenye imani ya dini, tunakumbushwa mara kwa mara kuwa haya yanayotokea sasa yalishaandikwa (kutabiriwa/kubashiriwa) kwamba ni alama za nyakati kuelekea kwenye hukumu iumizayo, wenye macho na masikio wayaone na wayasikie. 'Wanasayansi' wanayathibitisha.

Tufanyeje ili kujinusuru ndoa zetu na vizazi vyetu?

it is the sign of times,YES!
but the question of hukumu BIG NO,SCIENTIFICALLY!
all the changes are subject to time.
 
...bila kuingiza sana udini, naomba kugusia; ...kwa sie tulokuzwa kwenye imani ya dini, tunakumbushwa mara kwa mara kuwa haya yanayotokea sasa yalishaandikwa (kutabiriwa/kubashiriwa) kwamba ni alama za nyakati kuelekea kwenye hukumu iumizayo, wenye macho na masikio wayaone na wayasikie. 'Wanasayansi' wanayathibitisha.

Tufanyeje ili kujinusuru ndoa zetu na vizazi vyetu?

Swali zuri sana,

Kwangu mimi, there is a certain sense of inevitability in this. Naamini katika kuanzia mambo kwa watoto wadogo, kwani pale ndipo mafunzo yanapokuwa na impact kubwa na lasting.Lakini pia utamfundisha mtoto vizuri nyumbani, shuleni na mtaani anaweza kukutana na vichaa huko, kwa hiyo inabidi familia zifanye kazi ya ziada kufuatilia na kuhakikisha kwamba mafunzo ya heshima, kujali watu, kupendana kikweli etc yanaanza kwa watoto, watoto wanaelezwa jinsi ya vita hii kati ya maadili na uchafu tangu wadogo, watoto hawapewi nafasi ya kupata vishawishi vya kuingia katika uchafu huu, na juhudi zifanyike zaidi katika ngazi ya jamii nzima, na wala si mtu mmoja mmoja tu.

Moja ya vitu vilivyofanya wazazi wetu na wahenga kufanikiwa katika swala la maadili ni concept nzima ya kijiji kizima kumlea mtoto pamoja.Leo hii kumshikisha adabu mtoto wa jirani -japo kwa maneno makali tu- inaweza kuwa ngoma.Hili inabidi liangaliwe.Lakini pia ugumu unakuja pale inapobainika kwamba si kila jirani ni mtu wa kuaminiwa, kwa hiyo ni jukumu la mzazi na jamii nzima kuwaandaa watoto.

Watoto wakifundishwa tangu wadogo kuwapenda na kuwaheshimu wenzao, wataona vigumu hata kutukana na kuiba vitu vidogo, moral code hii ikikua na mtoto hata atakapooa atakuwa mgumu kushawishika.

Challenge inabaki kwamba, si kweli kuwa hawa wanaoasi siku hizi wote hawajui maadili -wengine ni watoto wa familia za kanisani na misikitini sana- sasa mtu anaweza kujiuliza nini tumekosea?

Binafsi naamini -and here again I am partial to my atheist/ humanist beliefs- naamini religion ime outlive its usefulness as a moral compass.People niowadays are too smart to believe in religion literary, but also too smart to come out in the open that they don't believe.And religion being the foremost moral compass, has lost its authority to the extent that almost every thinking body knows that it's message is more symbolic than literal, and as a result everybody becomes lax.

I would like to see a moral compass based solely on humanism and devoid of all the supernatural and pretentious calls of religion.This will be a more straightforward code that will not shortchange or underappreciate the ability of man to do good for goodness sake (without the promise of a heaven or threat of a hell for example) or because man realizes that doing good for all is in his own good.

The current value system, mostly based on religion and tradition is malfunctioning precisely because it is not based on truth, and is more of a house of cardbox during a Tokyo earthquake, it is bound to fall.Unless we squarely address this value system -in the east and the west- our fight with the inevitable forces of entropy, which is futile to begin with- will become even more sombre and shortlived.
 
it is the sign of times,YES!
but the question of hukumu BIG NO,SCIENTIFICALLY!
all the changes are subject to time.

...haya, tukirudi kwenye maswali ya msingi;

Inaonekana wengi wetu tumezitupa mila na desturi za kikwetu. Inasemwa eti ni za kishenzi, zimepitwa na wakati!

Inasemwa ngoma ya chagulaga mbaya, kumchapa mtoto wa jirani kwa kukosa nidhamu mbaya, tunasema jando na unyago ni uchafu mtupu, ...

Tunaelekea kuwa taifa lisilo na mila na desturi zake. Hata Wamaasai, kabila lilioweza dumisha mila na desturi zake miaka nenda rudi, vijana wao (Morani) ambao walikuwa wanaheshimika Afrika na dunia nzima kwa ujasiri wao, leo hii wamekuwa ni wasusi wa kina dada, makolokoloni na wengine 'mashoga' pwani za mombassa na Unguja...

...Mke wangu anasukwa nywele na kijana shababi wa kikongo, au Morani wa kimaasai, Si balaa hili? muacha asili yake ni Mtumwa!
 
...I would like to see a moral compass based solely on humanism and devoid of all the supernatural and pretentious calls of religion.This will be a more straightforward code that will not shortchange or underappreciate the ability of man to do good for goodness sake (without the promise of a heaven or threat of a hell for example) or because man realizes that doing good for all is in his own good.

The current value system, mostly based on religion and tradition is malfunctioning precisely because it is not based on truth, and is more of a house of cardbox during a Tokyo earthquake, it is bound to fall.Unless we squarely is address this value system -in the east and the west- our fight with the inevitable forces of entropy, which is futile to begin with- will become even more sombre and shortlived.


...dah, sasa mkuu unataka kusema maisha ya ndoa yatawaliwe na itikadi za kisiasa au? maana ukishaacha taratibu za kidini, kimila, desturi na utamaduni...utaangukia kwenye taratibu za kisiasa.

Mwenzenu nimeshakuwa 'brainwashed' kuwa sheria zozote zitazotungwa na mwanaadamu zitakuwa na mapungufu yake, ...no wonder Anglican churches wanatapata... (kumradhi waanglikana)
 
...dah, sasa mkuu unataka kusema maisha ya ndoa yatawaliwe na itikadi za kisiasa au? maana ukishaacha taratibu za kidini, kimila, desturi na utamaduni...utaangukia kwenye taratibu za kisiasa.

Mwenzenu nimeshakuwa 'brainwashed' kuwa sheria zozote zitazotungwa na mwanaadamu zitakuwa na mapungufu yake, ...no wonder Anglican churches wanatapata... (kumradhi waanglikana)

My thing is, sheria zote zimeandikwa na mwanadamu, hata hivyo vitabu vya biblia viliamuliwa na Constantine katika mkutano wa Nicea AD 325 -karibu miaka 300 baada ya kifo cha Yesu!-) aliamua kipi kiingie na kipi kisiingie.Vitabu vyenyewe vimeandikwa na wanadamu, kwa hiyo hii concept ya "sheria za mwanadamu..." ikiangalia vitabu vya dini kama sheria ya mungu inapotoka, mwanadamu kamtengeneza mungu halafu katunga sheria na kuipa dhamana ya kiungu, ndiyo maana sheria yenyewe ina mawenge na inashindwa kuwaongoza watu, ingekuwa kweli ya kiungu ingeshindwaje kuwaongoza watu?

Inabidi wanadamu wakubali ukweli mchungu kwamba sisi wenyewe ndio miungu, and by that I mean hakuna mtu wa kuchukua responsibility zaidi yako mwenyewe, sio unafanya dhambi huku unajua kesho nitaenda kanisani kutubu mungu amejaa rehema atanisamehe, hapa ndipo tunapoharibu mambo.

Inatakiwa tujue hakuna mungu, mimi mwenyewe ndiye responsible.Kinachofanywa gizani hudhihirika mwangani, leo John Edwards anakubali kwamba yule mtoto aliyezaliwa na hawara wake ni mwanae -fikiri huyu mtoto atajisikiaje akija kupata story baadaye kwamba baba yake alimkataa kwa sababu za kisiasa- Bado tunamsubiri Mahita naye.Hawa walijua dini lakini wakaidharau, labda wangepewa zaidi sheria isiyodharaulika wangeiheshimu zaidi.
 
My thing is, sheria zote zimeandikwa na mwanadamu, hata hivyo vitabu vya biblia viliamuliwa na Constantine katika mkutano wa Nicea AD 325 -karibu miaka 300 baada ya kifo cha Yesu!-) aliamua kipi kiingie na kipi kisiingie.Vitabu vyenyewe vimeandikwa na wanadamu, kwa hiyo hii concept ya "sheria za mwanadamu..." ikiangalia vitabu vya dini kama sheria ya mungu inapotoka, mwanadamu kamtengeneza mungu halafu katunga sheria na kuipa dhamana ya kiungu, ndiyo maana sheria yenyewe ina mawenge na inashindwa kuwaongoza watu, ingekuwa kweli ya kiungu ingeshindwaje kuwaongoza watu?

Inabidi wanadamu wakubali ukweli mchungu kwamba sisi wenyewe ndio miungu, and by that I mean hakuna mtu wa kuchukua responsibility zaidi yako mwenyewe, sio unafanya dhambi huku unajua kesho nitaenda kanisani kutubu mungu amejaa rehema atanisamehe, hapa ndipo tunapoharibu mambo.

Inatakiwa tujue hakuna mungu, mimi mwenyewe ndiye responsible.Kinachofanywa gizani hudhihirika mwangani, leo John Edwards anakubali kwamba yule mtoto aliyezaliwa na hawara wake ni mwanae -fikiri huyu mtoto atajisikiaje akija kupata story baadaye kwamba baba yake alimkataa kwa sababu za kisiasa- Bado tunamsubiri Mahita naye.Hawa walijua dini lakini wakaidharau, labda wangepewa zaidi sheria isiyodharaulika wangeiheshimu zaidi.

...dah, hapana bana, binaadamu wakishajijua hawapo responsible kwa yeyote wakisha kufa balaa zitaongezeka aisee...bora hivi hivi wengine tunavyotishiwa moto wa jehanamu na tunaamini.

Shauri yao hao wanaojifanya mabingwa wa kuporomosha maadili mpaka wanajigeuza ma plumber kuwazibua wenzao mitaro (aka TiGo), au kutembea na wakwe zao...
 
...Neno kuporomoka kwa maadili si neno geni masikioni mwa wengi.
Ndoa nyingi za kisasa zimekuwa zinakumbwa na matatizo kiasi kuhatarisha maisha ya kizazi husika.

Nani alaumiwe?

Ni kosa la Wazazi, ambao ni taswira ya watoto?

.... au ni maendeleo ya kisayansi na tekinolojia inayohusisha matumizi ya sinema, Interneti na simu za mkononi?

...au ni mapungufu ya imani, mila na desturi?

...huenda ni serikali na matokeo ya utandawazi pamoja na 'upofu' wa mila za kigeni?

...Jadili!

Hapo ni sawa na kuuliza, nani alimuua Yesu. Utadhani ni Mungu, ila si yeye. Yuda, ila si yeye. Mafarisayo, ila si wao. Pilato, ila si yeye. Warumi, ila si wao. Nani basi? Mimi na wewe kwa madhambi yetu. same applies. ni jamii kwa ujumla wala si mtu mmoja ndio ya kulaumiwa katika hayo unayosema
 
Back
Top Bottom