Kupokezana urais Bara na Visiwani

TECHMAN

JF-Expert Member
May 20, 2011
2,651
1,124
Hapo kale palikuwa na utaratibu wa kupokezana urais wa muungano, rais akitoka bara, makamu atoke visiwani, uchaguzi mwingine rais atoke visiwani makamu bara, JE hili lilikuwa kwenye katiba ya nchi au katiba ya ccm? Bado lipo au lishakufa baada ya Julius kufa?

:A S thumbs_up:
 
ahaa wazanzibar imekula kwenu mtabakia kuwa na makamo wa rais daima milele ambaye kazi yake ni kufungua na kuzindua activities mbali mbali
 
ahaa wazanzibar imekula kwenu mtabakia kuwa na makamo wa rais daima milele ambaye kazi yake ni kufungua na kuzindua activities mbali mbali

Hakika umenena. Mwaka 2005 walitufanyia ile mbaya kutupatia huyu rais wa sasa ambaye amefeli katka kila nyanja baada ya kumkataa mtu wao Dr Salim kwa kumsingizia mambo ya hovyo kabisa. Wazanzibari hawakutaka kutoa rais ingawa mwaka ule kila kitu kilikuwa kinaashiria ni zamu tyao. Wao waliona kuwa" kama ni huyu Dr Salim, basi ni boira Bara mkaendelea tu kutoa marais. Ni mambo ya ajabu sana ya hawa mayakhe. -- hawana maana kabisa.

Nauliza tu: HGivi lina tena Wazanzibari wanaweza kupata mgombea strong wa urais wa Muungano? Kweli imekula kwao!
 
wazungu wanaita 'historical mistake' na ccm by then walikuwa na golden chance ya kuimarisha Muungano ambayo ingerekebisha 'madudu' mengu waliyoyafany kuanzia miaka ya mid 1980s.
Sasa huyu katoka Mkuranga na kpitia ZNZ ili azuge lakini uwezo wake nauona kama 'tone ndani ya bahari.

Hakika umenena. Mwaka 2005 walitufanyia ile mbaya kutupatia huyu rais wa sasa ambaye amefeli katka kila nyanja baada ya kumkataa mtu wao Dr Salim kwa kumsingizia mambo ya hovyo kabisa. Wazanzibari hawakutaka kutoa rais ingawa mwaka ule kila kitu kilikuwa kinaashiria ni zamu tyao. Wao waliona kuwa" kama ni huyu Dr Salim, basi ni boira Bara mkaendelea tu kutoa marais. Ni mambo ya ajabu sana ya hawa mayakhe. -- hawana maana kabisa.
 
Back
Top Bottom