Wakuu naomba msaada, nina t.v yangu kesho nakuja nayo dar. Sina uzoefu na gharama za kuivusha pale kwa watu wa t.r.a bandari ya dar. Mwenye uzoefu wa gharama anisaidie nijipange kabisa
Wakuu naomba msaada, nina t.v yangu kesho nakuja nayo dar. Sina uzoefu na gharama za kuivusha pale kwa watu wa t.r.a bandari ya dar. Mwenye uzoefu wa gharama anisaidie nijipange kabisa
Umenunua wapi?kama umenunua zanzibar njoo tu na risiti..kamaimetoka nje ya zanzibar njoo na documents za kuingiza hiyo TV kukoconfirm kama imelipiwa kodi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.