Wana JF Leo asubuhi nimesikia taarifa kwenye baadhi ya vyombo vya habari kwamba kuna msaada wa fedha umetolewa pungufu kwa uganda baada ya wanaopigania suala la ushoga kuweka vizuizi kimyakimya,naomba kujua ukweli wake
Ni kweli Uganda wamenyimwa msaada lakini sidhani kama kuna uhusiano
wowote na kupinga ushoga. na kama ni hivyo hawa wazungu watakuwa
wanajenga chuki kubwa kwa Waafrika. Wasidhani tutaendelea kuwavumilia
siku zote...
Ni kweli Uganda wamenyimwa msaada lakini sidhani kama kuna uhusiano
wowote na kupinga ushoga. na kama ni hivyo hawa wazungu watakuwa
wanajenga chuki kubwa kwa Waafrika. Wasidhani tutaendelea kuwavumilia
siku zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.